Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina
Mshambuliaji na nahodha wa Simba, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amewataka wachezaji wenzake kujituma zaidi ili wapate matokeo mazuri yanayoweza kuwapa ubingwa badala ya kufuatilia matokeo ya timu nyingine, hasa Yanga na Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
9 years ago
Habarileo21 Dec
Azam yaipumulia Yanga
TIMU ya soka ya Azam FC imezidi kujiimarisha zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji.
10 years ago
Habarileo11 Aug
Yanga, Azam zapaniana
MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
TheCitizen23 Aug
Yanga down Azam on penalties
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Ni vita Yanga, Azam
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Yanga, Azam moto
TIMU za Yanga na Azam, jana zilizinduka katika mbio za Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuibuka na ushindi zikitoka kufungwa mechi zilizopita katika viwanja vya ugenini. Wakati Yanga wakilimwa...