Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina

Mshambuliaji na nahodha wa Simba, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amewataka wachezaji wenzake kujituma zaidi ili wapate matokeo mazuri yanayoweza kuwapa ubingwa badala ya kufuatilia matokeo ya timu nyingine, hasa Yanga na Azam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Azam, Simba ‘zauziana’ Majwega kiaina

Kiungo wa Azam, Brian Majwega ameidhinishwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuichezea klabu ya Simba msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngassa arejea Yanga kiaina

Mshambuliaji Mrisho Ngassa aliyesajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini hivi karibuni, jana aliibuka katika mazoezi ya timu yake ya zamani Yanga.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaipumulia Yanga

TIMU ya soka ya Azam FC imezidi kujiimarisha zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga down Azam on penalties

The National Stadium turned into a sea of green and yellow when Mainland champions Young Africans beat Azam FC 8-7 on post-match penalties in the Community Shield match yesterday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni vita Yanga, Azam

KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanga, Azam moto

TIMU za Yanga na Azam, jana zilizinduka katika mbio za Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuibuka na ushindi zikitoka kufungwa mechi zilizopita katika viwanja vya ugenini. Wakati Yanga wakilimwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani