Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga down Azam on penalties

The National Stadium turned into a sea of green and yellow when Mainland champions Young Africans beat Azam FC 8-7 on post-match penalties in the Community Shield match yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaipumulia Yanga

TIMU ya soka ya Azam FC imezidi kujiimarisha zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

Yanga yaivurugia Azam

Wachezaji wa Yanga, wakishangilia goli. Na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
YANGA leo Jumamosi inacheza na Mgambo JKT katika Ligi Kuu Bara, lakini imeonyesha jeuri ya fedha kwa kumuweka katika mawindo yake beki wa kushoto Samir Nuhu ambaye Azam FC ilikuwa katika mpango mkali wa kumrudisha kundini. Nuhu, kabla ya kuumia goti hivi karibuni na kupelekwa India kufanyiwa upasuaji, alikuwa akiitumikia Azam vizuri lakini tangu...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kikaangoni

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, inaendelea leo kwa mechi mbili zitakazopigwa kwenye viwanja viwili tofauti, Jamhuri Morogoro na Azam Complex Jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Azam yaizima Yanga

AZAM FC jana ilimaliza ubabe wa Yanga katika michuano ya Kombe la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 5-4 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Mwema

Yanga, Azam FC kitaeleweka

MICHUANO ya soka Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame inayoendelea jijini Dar

Abdul Mkeyenge

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani