Simba yamrejesha Mgosi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.
Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
5 years ago
Michuzi
CORONA YAMREJESHA MLIMBWENDE KWENYE FANI YAKE YA UDAKTARI

Mukherjee alipewa taji hilo Agosti mwaka jana (2019) na kuchukua mapumziko katika fani yake yake ya udaktari na kujikita zaidi katika shughuli za kijamii na tayari amerejea Uingereza kutoka nchini India katika safari ya shughuli za...
10 years ago
Vijimambo21 Sep
10 years ago
GPL
10 years ago
Mwananchi01 Nov
Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina
10 years ago
GPL
Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Katiba mpya: Mgosi kwenda na mkewe
BAADA ya kijiwe kufanyiwa mtima nyongo na kuenguliwa kushiriki Bunge la Katiba, mmoja wetu Mgosi Machungi amejipenyeza kama mzee Kimdunge Ngumaru Mwehu aliyepitia chama cha waganga wa jadi. Mgosi Machungi...
11 years ago
GPL
Mgosi: Jaja akizoea Bongo atakuwa hatari