Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CANNAVARO, MGOSI TUNAMUAMINI MAGUFULI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

9 years ago

Mtanzania

TFF yacharuka Cannavaro kumnadi Magufuli

NADIR CANNAVARONA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewapiga marufuku wanafamilia wake kuelezea hisia zao za kisiasa au kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo.

TFF imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wake kujihusisha na masuala ya siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

Mmoja wa wachezaji waliofanya kitendo hicho ni nahodha wa timu ya Yanga na...

 

10 years ago

Mtanzania

Simba yamrejesha Mgosi

mgosiNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.

Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

GPL

Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao

Straika mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi. Wilbert Molandi,Dar es Salaam
STRAIKA mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi, ametamka kuwa kama timu yake inataka mabao, basi apangwe na Mganda, Hamis Kiiza kikosini. Washambuliaji hao wote walijiunga kwenye kikosi cha Muingereza, Dylan Kerr hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo iliyoweka kambi yake visiwani Zanzibar. Mgosi aliyetokea Mtibwa Sugar baada ya kumaliza mkataba...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina

Mshambuliaji na nahodha wa Simba, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amewataka wachezaji wenzake kujituma zaidi ili wapate matokeo mazuri yanayoweza kuwapa ubingwa badala ya kufuatilia matokeo ya timu nyingine, hasa Yanga na Azam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya: Mgosi kwenda na mkewe

BAADA ya kijiwe kufanyiwa mtima nyongo na kuenguliwa kushiriki Bunge la Katiba, mmoja wetu Mgosi Machungi amejipenyeza kama mzee Kimdunge Ngumaru Mwehu aliyepitia chama cha waganga wa jadi. Mgosi Machungi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgosi aipa masharti mazito Simba

Mshambuliaji mahiri wa Mtibwa Sugar, Musa Hassan ‘Mgosi’ ameitaka klabu yake ya zamani ya Simba kuvunja benki kama kweli ina nia ya dhati ya kupata saini yake kwenye kipindi hiki cha usajili.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo  amesema kuwa hakuna cha kumnyima kung’ara ikiwa atacheza pamoja na Emmanuel Okwi na Mussa Hassan ‘Mgosi’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani