CANNAVARO, MGOSI TUNAMUAMINI MAGUFULI
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3lz4UiN-3khvqxM1uxigMPxNPEOJvL7ojwCQWZ9kFoKSP8b35A5u5*jE7ONGPXmh8pOAKM9sQ*TOwutEczYOyWR/Cannavaro2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9pB5Rm2diMUOulqt6Jq9ZUZXYeWga-q2eyGeAcNDGCa3kLT4jFzK0Mp-lXpfgth1f*EDaQ2bDFVphkAp6P-AJGP/Cannavaro2.jpg?width=750)
9 years ago
Mtanzania16 Sep
TFF yacharuka Cannavaro kumnadi Magufuli
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewapiga marufuku wanafamilia wake kuelezea hisia zao za kisiasa au kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo.
TFF imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wake kujihusisha na masuala ya siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa ligi.
Mmoja wa wachezaji waliofanya kitendo hicho ni nahodha wa timu ya Yanga na...
10 years ago
Mtanzania30 May
Simba yamrejesha Mgosi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.
Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3KOhR8v2a09tq1JNj9XLlgLME*8O*AqwHDCIsZR6VYoA3lRD1UYJT*fpjlRKiSfhm751LgH-NURamMXkGZy7ZXno8ScQd7k/YUOIOIO.gif?width=650)
Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Katiba mpya: Mgosi kwenda na mkewe
BAADA ya kijiwe kufanyiwa mtima nyongo na kuenguliwa kushiriki Bunge la Katiba, mmoja wetu Mgosi Machungi amejipenyeza kama mzee Kimdunge Ngumaru Mwehu aliyepitia chama cha waganga wa jadi. Mgosi Machungi...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu