CANNAVARO NAMUAMINI MAGUFULI
![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9pB5Rm2diMUOulqt6Jq9ZUZXYeWga-q2eyGeAcNDGCa3kLT4jFzK0Mp-lXpfgth1f*EDaQ2bDFVphkAp6P-AJGP/Cannavaro2.jpg?width=750)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3lz4UiN-3khvqxM1uxigMPxNPEOJvL7ojwCQWZ9kFoKSP8b35A5u5*jE7ONGPXmh8pOAKM9sQ*TOwutEczYOyWR/Cannavaro2.jpg)
9 years ago
Vijimambo21 Sep
9 years ago
Mtanzania16 Sep
TFF yacharuka Cannavaro kumnadi Magufuli
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewapiga marufuku wanafamilia wake kuelezea hisia zao za kisiasa au kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo.
TFF imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wake kujihusisha na masuala ya siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa ligi.
Mmoja wa wachezaji waliofanya kitendo hicho ni nahodha wa timu ya Yanga na...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Cannavaro arejea Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MveGBybi5eAw1YId6bpTOhtW6d8lDubqjSQUaSyiefX40eLnL*WlRJr5GoTd6UbZY6HWC6OlNxCSMAEkc862bzt/QQQQQ.jpg)
Cannavaro aikosa... Azam FC
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Ngoma, Cannavaro ‘waua’
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Cannavaro anogewa Tanzania
![Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Fabio-Cannavaro.jpg)
Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MCHEZAJI bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro, amenogewa na mandhari ya Tanzania pamoja na ukarimu wa watu wa hapa walioonyeshwa, akiwa na kikosi cha magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid.
Cannavaro ameongozana na magwiji hao wenzake akiwemo winga, Luis Figo, Christian Karembeu na Ruben de la Red, waliocheza na kikosi maalumu cha wachezaji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania...
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Cannavaro: Tutaifunga Malawi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kuwa wamepania kupata ushindi dhidi ya Malawi ‘The Flames’ kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam keshokutwa ili kuondoa mdudu wa sare tangu Charles Mkwasa apewe kibarua cha kuinoa timu hiyo.
Stars itamenyana na Flames katika mchezo wa awali wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, Mkwasa ataingia kwenye mechi hiyo akiwa hajaambulia ushindi katika mechi mbili za...
10 years ago
TheCitizen05 Feb
Cannavaro aizamisha Coastal Union