Cannavaro aikosa... Azam FC

Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Na Wilbert Molandi BEKI na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ anatarajiwa kuikosa mechi yenye upinzani mkubwa ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Mechi hiyo ni muhimu kwa beki huyo kucheza kutokana na aina ya washambuliaji wa Azam FC. Mtanange huo utapigwa Desemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Cannavaro ataikosa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Samatta aikosa CSKA
11 years ago
Mwananchi24 Sep
Kiongera aikosa Yanga
11 years ago
GPL
Sindano zamlaza Kiongera, aikosa Yanga
11 years ago
GPL
MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY
10 years ago
GPL
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Ngoma, Cannavaro ‘waua’
11 years ago
Mtanzania25 Aug
Cannavaro anogewa Tanzania

Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MCHEZAJI bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro, amenogewa na mandhari ya Tanzania pamoja na ukarimu wa watu wa hapa walioonyeshwa, akiwa na kikosi cha magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid.
Cannavaro ameongozana na magwiji hao wenzake akiwemo winga, Luis Figo, Christian Karembeu na Ruben de la Red, waliocheza na kikosi maalumu cha wachezaji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Cannavaro arejea Yanga