Sserunkuma: Subirini muone moto wangu
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Simon Sserunkuma. Na Omary Mdose KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Simon Sserunkuma, amefunguka kuwa ataonyesha moto wake katika michezo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuendelea keshokutwa Ijumaa.Sserunkuma amesajiliwa na Simba kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea timu ya Express ya Uganda, anatarajiwa kushuka dimbani kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*TKXCj7gBtO6gmUJieiwyHNsIzZlmvyAi68VFUhfXPaNOr2nilRmRZTMpQNXReVlCcQxjMBvLSnG8ui29HHhEw/R.jpg?width=650)
Tambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFyvlAoPFfw5KS7R2irN8vbrI74zbtpXe*75Yr9FRqpB9kBH-gN6rIbzzYRgKclceOg2zKLKvDhushGLpL*bGey8/1.jpg)
Msuva: Mtauona moto wangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Q*ReSH68Ob5zw141IjOJMG0IflAfwNt3nxCnbrMJa41NdugvfmH1DcPisx-X8USU9B35s7jTBbPN5ULHWwffWN/MUME.jpg)
MUME: MKE WANGU KANICHOMA KWA MAJI YA MOTO NA MWANANGU
10 years ago
Habarileo11 Aug
Magufuli: Subirini ushindi wa tsunami
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, amewahakikishia wana-CCM na Watanzaia kwa ujumla kuwa mwaka huu, chama kitapata ushindi wa Tsunami na si wa kishindo wala kimbunga.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Tegete: Subirini, ndiyo kwanza nimeanza kazi Yanga
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Subirini kupiga kura, sio kuandamana waambiwa Singida
Baadhi ya magari ya jeshi la polisi mkoa wa Singida, yakiwa yamebeba askari kwa ajili ya kuzuia maandamano ya wanachama wa CHADEMA ya kupiga kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba. Hadi tunakwenda mtamboni,wanachama hao pamoja na mabango yao walishitukia nguvu ya polisi na kufuta maandamano hayo.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMANDA wa jeshi la polisi mkoa wa Singida,SACP,Geofrey Kamwela amewashauri wananchi kuacha kupoteza muda wao bure kushiriki maandamano ya kupinga Bunge Maalum la Katiba na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3KOhR8v2a09tq1JNj9XLlgLME*8O*AqwHDCIsZR6VYoA3lRD1UYJT*fpjlRKiSfhm751LgH-NURamMXkGZy7ZXno8ScQd7k/YUOIOIO.gif?width=650)
Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya
MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...