Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya
MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Kiba: Njooni muone jinsi ninavyopiga na ‘live’ bendi
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Miyeyusho ampiga Mkenya KO
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Miyeyusho amyeyusha Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Miyeyusho kuzipiga na Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...
10 years ago
GPL
Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...
10 years ago
GPLSserunkuma: Subirini muone moto wangu
10 years ago
GPL
Loga: Nipeni Mbeya City muone kazi
10 years ago
Habarileo15 Sep
Mbarawa: Pemba chagueni CCM sasa muone kazi nzuri
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Mkanyageni, Pemba kwa tiketi ya CCM, Profesa Makame Mbarawa amewataka wananchi wa majimbo ya uchaguzi ya Pemba wasirudie makosa ya kukichagua Chama cha Wananchi (CUF) akisema viongozi wake hawapo kwa ajili ya maslahi ya wananchi na wapiga kura.