Msigwa awaasa walimu Iringa
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa alitoa kauli hiyo jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
DC Iringa awaasa wanaoishi na VVU
NA TUMAINI MSOWOYA, IRINGA
MKUU wa wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba, amewataka wananchi wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU), kutokata tamaa, badala yake wafuate masharti ya dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Alitoa wito huo wakati Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya Barani Afrika, (AMREF), lilipokuwa likitoa msaada wa baiskeli 50 kwa vikundi 17 kati ya 36 vya watoto salama, vinavyoundwa na wanawake wenye VVU, Iringa Vijijini.
Alisema kuishi na VVU sio mwisho wa maisha,...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Naibu Katibu Mkuu Samataba awaasa walimu kuwa wazalendo
Washiriki wa mafunzo ya ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani kibaha Vijijini mkoani Pwani.
Walimu nchini wametakiwa kuwa wazalendo kwa kuhakikisha wanawafundisha watoto katika muda wa ziada ili kuwaongezea uwezo wa ufaulu katika mitihani yao.
Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Msigwa: Walimu gomeni michango ya lazima
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Manispaa Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Msigwa asimamisha shughuli Iringa
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Msigwa, wafuasi 67 mbaroni Iringa
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Msigwa, Mwakalebela wakabana koo Iringa
KAMA ilivyo kwa Mbeya Mjini, Jimbo la Iringa Mjini nako ni mapambano kati ya Mgombea wa CCM, Davi
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqN80lPOSbZt8VptLr23aJCrEp05oRRZFhiZd*C1k5O4H4bwa9X1RIRLSiM*1aeOK*eezVx1lIOFmrfHG0C1ipg/msigwa.jpg?width=650)
MSIGWA APIGWA ZENGWE UBUNGE IRINGA 2015
9 years ago
IPPmedia30 Sep
Police in Iringa release Rev Msigwa, 52 others on bail
IPPmedia
IPPmedia
As the election temperature continue to rise, police in Iringa Region on Monday released on bail Iringa Urban lawmaker Peter Msigwa (Chadema) and 62 party members who were arrested on Monday for allegedly instigating violence in the municipality.
Mwakalebela vows to transform Iringa Urban constituencyDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 3