Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Iringa awaasa wanaoishi na VVU


NA TUMAINI MSOWOYA, IRINGA
MKUU wa wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba, amewataka wananchi wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi  (VVU), kutokata tamaa, badala yake wafuate masharti ya dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Alitoa wito huo wakati Shirika la  Utafiti wa Tiba na Afya Barani Afrika, (AMREF),  lilipokuwa likitoa msaada wa baiskeli 50 kwa vikundi 17 kati ya 36 vya watoto salama, vinavyoundwa na wanawake wenye  VVU,  Iringa Vijijini.
Alisema kuishi na VVU sio mwisho wa maisha,...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI

Na Ahmed Mahmoud, Arusha
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.

Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wanaoishi na VVU wakosa kliniki

Asilimia 73 ya watoto wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), hawafikishwi katika kliniki maalumu ili kupatiwa dawa za kufubaza makali ya ugonjwa huo, badala yake ni asilimia 27 pekee ndiyo waliopo katika matibabu ya ART (ARV).

 

10 years ago

Habarileo

Watoto, wanaoishi na VVU waongoza mahitaji ya damu

ASILIMIA 90 ya damu yote inayohitajika kwa watoto, huwekewa watoto wanaoumwa malaria wakati asilimia 52 ya damu inahohitajika kwa watu wazima hutumiwa na wenye ugonjwa wa Ukimwi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa awaasa walimu Iringa

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa alitoa kauli hiyo jana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watu 305 waambukizwa VVU Iringa

KATI ya watu 4,879 mkoani hapa waliopima afya zao kwa hiari katika kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septembam waka huu, 305 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi...

 

11 years ago

Michuzi

WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013

Mstahiki meya wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akifungua kikao kwa maombi katika baraza la madiwani lilofanyika mwishoni mwa wiki kushoto ni naibu meya Gervas Ndaki na kulia  Mkurugen Theresia  Mahongo kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa. (picha na Denis Mlowe)
Juu na chini ni Madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakiwa katika kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri mwishoni mwa wiki.  Habari na picha na Denis...

 

10 years ago

Michuzi

Launch of the European Union Supported "Usafi Iringa-Iringa Sanitation" Project

The Head of Delegation of the European Union to Tanzania, H.E. Ambassador Filiberto Ceriani Sebregondi and the Deputy Minister for Health and Social Welfare of the Government of Tanzania, Honorable Dr. Stephen Kebwe launched today the "Usafi Iringa - Iringa Sanitation" Project in Iringa region.
With funding from the European Union, ACRA-CCS Foundation, in partnership with Iringa Municipal Council, Iringa Urban Water and Sanitation Authority (IRUWASA), local (MAMADO, IDYDC) and international...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA‏

Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika promosheni hiyo toka kwa Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544. Meneja… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

UVCCM Iringa walipigia hesabu kulikomboa jimbo la Iringa mjni

IMG_5631

Katibu wa CCM wa Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga  katika kikao na baadhi ya vijana hao.

IMG_5629

IMG_5654

IMG_5714

IMG_5716

Na Mwandishi wetu

KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.

CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani