Watu 305 waambukizwa VVU Iringa
KATI ya watu 4,879 mkoani hapa waliopima afya zao kwa hiari katika kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septembam waka huu, 305 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Feb
WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Watu 2 waambukizwa Ebola Liberia
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Watu 4 waambukizwa Ebola Conakry
9 years ago
StarTV31 Dec
Watu 192 wafariki, 12,222 waambukizwa Ugonjwa Wa Kipindupindu nchini
Watanzania 196 wamefariki dunia nchini mwaka huu kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu.
Idadi hiyo inatokana na wananchi 12,222 waliougua ugonjwa huo katika mikoa 20 ya Tanzania.
Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utoaji wa Huduma za Kinga katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Vincent Assey, wakati wa mafunzo maalum ya kipindupindu kwa Waandishi wa habari mkoani Mbeya.
Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kumaliza tatizo hilo licha...
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
DC Iringa awaasa wanaoishi na VVU
NA TUMAINI MSOWOYA, IRINGA
MKUU wa wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba, amewataka wananchi wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU), kutokata tamaa, badala yake wafuate masharti ya dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Alitoa wito huo wakati Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya Barani Afrika, (AMREF), lilipokuwa likitoa msaada wa baiskeli 50 kwa vikundi 17 kati ya 36 vya watoto salama, vinavyoundwa na wanawake wenye VVU, Iringa Vijijini.
Alisema kuishi na VVU sio mwisho wa maisha,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A6Vm_ltNkH8/Xu0CwV7AlGI/AAAAAAALuq8/A9Vk0sKUUc4lest2ieD50muK5oIGL2v4QCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-2048x1365.jpg)
CUAMM YAJENGA JENGO LA HUDUMA KWA WATU WENYE VVU SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-A6Vm_ltNkH8/Xu0CwV7AlGI/AAAAAAALuq8/A9Vk0sKUUc4lest2ieD50muK5oIGL2v4QCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-2048x1365.jpg)
Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Padri Kizito Nyanga (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Huduma za tiba na matunzo kwa watuwanaoishi na Virusi vya Ukimwi (CTC) Juni 18, 2020 lililojengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la Kiserikali la Doctors With Africa- CUAMM kupitia mradi wa Test and Treat; katika Zahanati ya Old Maswa inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga (Kulia) Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt....