Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 305 waambukizwa VVU Iringa

KATI ya watu 4,879 mkoani hapa waliopima afya zao kwa hiari katika kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septembam waka huu, 305 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013

Mstahiki meya wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akifungua kikao kwa maombi katika baraza la madiwani lilofanyika mwishoni mwa wiki kushoto ni naibu meya Gervas Ndaki na kulia  Mkurugen Theresia  Mahongo kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa. (picha na Denis Mlowe)
Juu na chini ni Madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakiwa katika kikao cha baraza kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri mwishoni mwa wiki.  Habari na picha na Denis...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI

Na Ahmed Mahmoud, Arusha
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.

Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 2 waambukizwa Ebola Liberia

Madada wawili wameambukizana ugonjwa hatari wa Ebola nchini Liberia baada ya kuenezwa kutoka nchini Guinea ambako umewaua watu 78.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 4 waambukizwa Ebola Conakry

Wataalamu wa afya wanasema wamewatenga watu 4 katika wadi ya hospitali moja mjini humo. Zaidi ya watu 60 wamefariki nchini humo.

 

9 years ago

StarTV

Watu 192 wafariki, 12,222 waambukizwa Ugonjwa Wa Kipindupindu nchini

Watanzania 196 wamefariki dunia nchini mwaka huu kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu.

Idadi hiyo inatokana na wananchi 12,222 waliougua ugonjwa huo katika mikoa 20 ya Tanzania.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utoaji wa Huduma za Kinga katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Vincent Assey, wakati wa mafunzo maalum ya kipindupindu kwa Waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kumaliza tatizo hilo licha...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

DC Iringa awaasa wanaoishi na VVU


NA TUMAINI MSOWOYA, IRINGA
MKUU wa wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba, amewataka wananchi wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi  (VVU), kutokata tamaa, badala yake wafuate masharti ya dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Alitoa wito huo wakati Shirika la  Utafiti wa Tiba na Afya Barani Afrika, (AMREF),  lilipokuwa likitoa msaada wa baiskeli 50 kwa vikundi 17 kati ya 36 vya watoto salama, vinavyoundwa na wanawake wenye  VVU,  Iringa Vijijini.
Alisema kuishi na VVU sio mwisho wa maisha,...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya

Idadi ya vifo Kenya kutokana na corona yafikia 58 huku wengine zaidi 147 wakithibitishwa kuambukizwa.

 

5 years ago

Michuzi

CUAMM YAJENGA JENGO LA HUDUMA KWA WATU WENYE VVU SIMIYU


Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Padri Kizito Nyanga (katikati)  akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Huduma za tiba na matunzo kwa watuwanaoishi na Virusi vya Ukimwi (CTC) Juni 18, 2020  lililojengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la Kiserikali la  Doctors With Africa- CUAMM kupitia mradi wa Test and Treat;  katika Zahanati ya Old Maswa inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga (Kulia) Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani