Watu 4 waambukizwa Ebola Conakry
Wataalamu wa afya wanasema wamewatenga watu 4 katika wadi ya hospitali moja mjini humo. Zaidi ya watu 60 wamefariki nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Watu 2 waambukizwa Ebola Liberia
10 years ago
Habarileo03 Oct
5 waambukizwa ebola kila baada ya saa
SHIRIKA la Msaada la Save the Children limeonya kuwa kiwango cha maambukizi kilichopo sasa nchini Sierra Leone, kinamaanisha kuwa nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa na tiba.
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Watu 305 waambukizwa VVU Iringa
KATI ya watu 4,879 mkoani hapa waliopima afya zao kwa hiari katika kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septembam waka huu, 305 wamebainika kuwa na maambukizi ya virusi...
9 years ago
StarTV31 Dec
Watu 192 wafariki, 12,222 waambukizwa Ugonjwa Wa Kipindupindu nchini
Watanzania 196 wamefariki dunia nchini mwaka huu kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu.
Idadi hiyo inatokana na wananchi 12,222 waliougua ugonjwa huo katika mikoa 20 ya Tanzania.
Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utoaji wa Huduma za Kinga katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Vincent Assey, wakati wa mafunzo maalum ya kipindupindu kwa Waandishi wa habari mkoani Mbeya.
Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kumaliza tatizo hilo licha...
11 years ago
Michuzi03 Feb
WATU 379 WAAMBUKIZWA VVU IRINGA OKTOBA HADI DISEMBA 2013
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
WHO:Watu 7000 wamefariki na ebola
10 years ago
Habarileo05 Sep
Ebola yaua watu 1,900 Afrika
WATU zaidi ya 1,900 wamekufa, kutokana na kushambuliwa na virusi vya ugonjwa wa ebola katika nchi za Afrika Magharibi, Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema.