Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yaua watu 1,900 Afrika

WATU zaidi ya 1,900 wamekufa, kutokana na kushambuliwa na virusi vya ugonjwa wa ebola katika nchi za Afrika Magharibi, Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ebola waua watu 1,229 Afrika Magharibi

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza idadi ya watu waliokufa kwa ugonjwa hatari wa ebola katika nchi nne za magharibi mwa Afrika kuwa imefikia 1,229.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 1,900 wamekufa na Ebola

Zaidi ya watu 1,900 wanakisiwa kufariki kutokana na mlipuko wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBC

Ebola death toll exceeds 1,900

The World Health Organisation says more than 1,900 people have now died in West Africa's Ebola outbreak, 40% of them in the past three weeks.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

TETEMEKO la ardhi limetokea nchini Nepal muda mchache uliopita na na kupoteza maisha ya watu  ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima. 
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal. 
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yaua tena Liberia

Wiki saba baada ya Liberia kutangazwa kuondokana na ugonjwa wa ebola, nchi hiyo imeripoti kuwepo mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ebola ‘yaua’ soko la utalii Arusha

Imeelezwa kuwa idadi ya watalii mkoani hapa imepungua kwa sababu mbalimbali zikiwamo tishio la ebola na ugaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Mabasi yagongana, yaua watu 13

MABASI mawili yamegongana uso kwa uso wilayani Sikonge mkoani Tabora na kuua abiria 13, wakiwemo madereva wa mabasi hayo na kujeruhi wengine 73. Moja ya mabasi hayo, lilikuwa likitokea mkoani Mwanza kwenda Mpanda na lingine likitokea mkoani Mbeya kwenda Mwanza.

 

11 years ago

Habarileo

Noah yaua watu sita

WATU sita wamekufa papo hapo na wengine wawili wamejeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi usiku katika mji wa Longido mkoani Arusha.

 

10 years ago

Habarileo

Mvua yaua watu 38 Kahama

Wakazi wa Kahama mkoani Shinyanga wakipita kwenye eneo lililofurika maji kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo iliyonyesha mkoani humo juzi.MAAFA makubwa yameikumba Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya watu 38 kufa papo hapo na wengine 82 kujeruhiwa, kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, iliyonyesha katika Kijiji cha Mwakata Kata ya Isaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani