Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya 1,900 wamekufa na Ebola

Zaidi ya watu 1,900 wanakisiwa kufariki kutokana na mlipuko wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kiteto wamekufa zaidi ya 15, bado wangapi?

RAIS wangu, ni wapi katika nchi yetu ambako hakuna mapigano? Mapigano kati ya wakulima na wafugaji yametapakaa nchi nzima. Mapigano kati ya wananchi na wawekezaji yameenea kote. Na katika mapigano...

 

10 years ago

Habarileo

Ebola yaua watu 1,900 Afrika

WATU zaidi ya 1,900 wamekufa, kutokana na kushambuliwa na virusi vya ugonjwa wa ebola katika nchi za Afrika Magharibi, Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema.

 

10 years ago

BBC

Ebola death toll exceeds 1,900

The World Health Organisation says more than 1,900 people have now died in West Africa's Ebola outbreak, 40% of them in the past three weeks.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM

Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.

Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.

Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea  sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

TETEMEKO la ardhi limetokea nchini Nepal muda mchache uliopita na na kupoteza maisha ya watu  ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima. 
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal. 
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi

Shirika la afya duniani limetahadharisha kutokea maambukizi zaidi ya Ebola licha ya juhudi za pamoja kupambana na janga hilo

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tuchukue tahadhali zaidi dhidi ya Ebola

TAARIFA za baadhi ya vyombo vya habari jana kwamba mtu aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya, zimewashitua wananchi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yatoa msaada zaidi wa Ebola

Uchina yatuma wanajeshi wenye ujuzi wa utibabu huko Liberia kusaidia wagonjwa wa Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600

Vifo kutokana na Ebola huko Afrika magharibi ni zaidi ya 600 huku udhibiti ukicheleweshwa na changamoto zinazoibuka .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani