Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiteto wamekufa zaidi ya 15, bado wangapi?

RAIS wangu, ni wapi katika nchi yetu ambako hakuna mapigano? Mapigano kati ya wakulima na wafugaji yametapakaa nchi nzima. Mapigano kati ya wananchi na wawekezaji yameenea kote. Na katika mapigano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka watu wangapi wafe Kiteto ndipo tuchukue hatua?

UKIFUATILIA migogoro ya ardhi nchini na jinsi ilivyoleta athari, unaweza kujiuliza kwanini Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, asijiuzulu. Hakuna ubishi kwamba suala la migogoro ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 1,900 wamekufa na Ebola

Zaidi ya watu 1,900 wanakisiwa kufariki kutokana na mlipuko wa Ebola katika kanda ya Afrika Magharibi.

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio

Zaidi ya miaka 30 tangu mgonjwa wa kwanza wa ukimwi kugunduliwa Tanzania, lakini madhara yake bado yanaonekana: kiuchumi na jamii.

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

9 years ago

StarTV

Hali bado tete UKAWA Vijana zaidi wazidi kuhama-Tabora.

 

Siku chache mara baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dokta Wilbroad Slaa Kujiuzulu na kuamua kuachana na siasa kutokana na kutokuridhishwa na utendaji ndani ya chama hicho baadhi ya vijana wamezidi kukihama chama hicho jambo ambalo linadaiwa kukidhoofisha chama hicho.

Baadhi ya vijana mjini Tabora waliokuwa wanachama wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA wameandamana hadi ofisi ya CCM Wilaya na kudai wanajiunga na chama hicho baada...

 

10 years ago

GPL

KAMAUNAMPENDA MVUMILIE, KAMA KUACHA UTAACHA WANGAPI

Mpenzi msomaji wangu, huko mtaani kuna watu ambao wamekuwa wakipachikwa majina mabaya kutokana na tabia zao. Wapo ambao wanaitwa malaya kwa sababu kila mara wamekuwa wakibadili wapenzi.
Unamkuta leo yuko na f’lani, kesho unaambiwa kahamia kwa mwingine. Si ajabu ndani ya muda mfupi akawa ameshatoka na idadi kubwa ya wapenzi.Kimsingi kuna wale ambao wanastahili kuitwa majina hayo mabaya kwa kuwa kubadili kwao wapenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani