Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka watu wangapi wafe Kiteto ndipo tuchukue hatua?

UKIFUATILIA migogoro ya ardhi nchini na jinsi ilivyoleta athari, unaweza kujiuliza kwanini Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, asijiuzulu. Hakuna ubishi kwamba suala la migogoro ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kiteto wamekufa zaidi ya 15, bado wangapi?

RAIS wangu, ni wapi katika nchi yetu ambako hakuna mapigano? Mapigano kati ya wakulima na wafugaji yametapakaa nchi nzima. Mapigano kati ya wananchi na wawekezaji yameenea kote. Na katika mapigano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chalinze kama Kalenga, tuchukue hatua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika Jimbo la Chalinze umekwisha huku idadi ya wapiga kura ikizidi kupungua siku hadi siku. Kila uchao tumeendelea kushuhudia chaguzi nyingi hasa za marudio, kuanzia ngazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuchukue hatua mapema kuepuka majanga

Leo katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna taarifa ya kusikitisha ya vifo vya watu zaidi ya 38 waliofariki dunia mkoani Shinyanga, baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?

ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

 

11 years ago

Mwananchi

ZEE LA NYETI: Pale unapojishtukia ndipo watu wanapokupigia

>Mwanangu, siku ya nne leo sijakatiza mitaa ya Kariakoo. Najua mvua ishazingua sana kitaa kile,  watu wameshaachia chemba zao, utawaeleza nini kudadadeki. Nawaachia wanangu akina Suma lee wanipe ripoti, kitu kikishakuwa drai, ntaibuka kuendeleza mitikasi kama kawaida.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

DUA HII NI KWASOTE: Tunataka tupate watu 40-Wakizidi ni Bonus.

Assalamu Alaikhum Warahmatullah Wabarakatuhu Ndugu Watanzania kutoka Ndani na Nje ya Zanzibar na Ndani na Nje ya Tanganyika. Ama sina budi ila kuwaletea Dua hii ambayo namimi nimeletewa na Brother mmoja ambe ana asili ya Usharifu. […]

The post DUA HII NI KWASOTE: Tunataka tupate watu 40-Wakizidi ni Bonus. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 12 kizimbani kwa tuhuma za mauaji ya Kiteto

Wafugaji 12 wa jamii ya Kimasai wilayani Kiteto, katika Mkoa wa Manyara, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wakulima tisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani