Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chalinze kama Kalenga, tuchukue hatua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika Jimbo la Chalinze umekwisha huku idadi ya wapiga kura ikizidi kupungua siku hadi siku. Kila uchao tumeendelea kushuhudia chaguzi nyingi hasa za marudio, kuanzia ngazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?

ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....

 

10 years ago

Mwananchi

Tuchukue hatua mapema kuepuka majanga

Leo katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna taarifa ya kusikitisha ya vifo vya watu zaidi ya 38 waliofariki dunia mkoani Shinyanga, baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka watu wangapi wafe Kiteto ndipo tuchukue hatua?

UKIFUATILIA migogoro ya ardhi nchini na jinsi ilivyoleta athari, unaweza kujiuliza kwanini Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, asijiuzulu. Hakuna ubishi kwamba suala la migogoro ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunalo la kujifunza Kalenga, Chalinze

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika majimbo ya Kalenga mkoani Iringa na Chalinze mkoani Pwani, umemalizika kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanikiwa kuyatetea. Vyama kadhaa vya siasa vilishiriki uchaguzi huo, lakini...

 

11 years ago

Daily News

Kalenga, Chalinze polls in pipeline


Kalenga, Chalinze polls in pipeline
Daily News
POLITICAL parties have been urged to maintain peace and promote democracy in the coming parliamentary by-election in Kalenga, Iringa and Chalinze in Coast Region. The Registrar of Political Parties, Justice Francis Mutungi, said in a statement on ...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Chalinze usirudie makosa ya Kalenga

Uchaguzi wa ubunge katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ulimalizika mwishoni mwa wiki na Chama cha Mapinduzi (CCM), kiliibuka mshindi. Uchaguzi huo ulikuwa wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Dk. William Mgimwa aliyefariki dunia Januari mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Torongey awataka Chalinze kuchukua hatua

ALIYEKUWA mgombea ubunge Chalinze kwenye uchaguzi mdogo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mathayo Torongey, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuacha kulalamika, badala yake wachukue hatua katika uchaguzi ujao....

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KWA KASI KATIKA HATUA ZA LALA SALAMA

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na vijana wajasiriamali wa UVCCM,Mara baada ya kufungua Shina la vijana la mshikamano Visakazi,lililopo kwenye kata ya Ubena Zomozi leo April 1,2014. Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi CCM,Nape Nnauye akizungumza jambo na mmoja wa wafugaji wa Kimasai wa Tawi la Kivuga kata ya Ubena Zomozi wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM za Ubunge jimbo la Chalinze,leo April 1,2014. Mgombea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani