Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuchukue hatua mapema kuepuka majanga

Leo katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna taarifa ya kusikitisha ya vifo vya watu zaidi ya 38 waliofariki dunia mkoani Shinyanga, baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chalinze kama Kalenga, tuchukue hatua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika Jimbo la Chalinze umekwisha huku idadi ya wapiga kura ikizidi kupungua siku hadi siku. Kila uchao tumeendelea kushuhudia chaguzi nyingi hasa za marudio, kuanzia ngazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?

ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka watu wangapi wafe Kiteto ndipo tuchukue hatua?

UKIFUATILIA migogoro ya ardhi nchini na jinsi ilivyoleta athari, unaweza kujiuliza kwanini Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, asijiuzulu. Hakuna ubishi kwamba suala la migogoro ya...

 

10 years ago

GPL

ZICHUKULIWE HATUA HARAKA KUEPUKA JANGA LA MAFURIKO

Ndugu zangu, tunapaswa kumshukuru Mungu kwa wema wake anaotufanyia kwa kutulinda sisi tulio hai, hivyo basi jina lake lihimidiwe daima. Wiki iliyopita tulishuhudia au kusikia tukio la kusikitisha sana wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo vifo vya watu zaidi ya 45 viliripotiwa baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo. Katika tukio hilo lilitokea katika Kijiji cha Mwakata kilichopo...

 

11 years ago

Mwananchi

Hatua kali zichukuliwe majanga ya meli Bahari ya Hindi

Matukio ya ajali za Bahari ya Hindi kwa upande wa Zanzibar yamekuwa yakitokea mara kwa mara licha ya ahadi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kwamba wanafanya kila aina ya juhudi kuhakikisha katu hayatokei.

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tuchukue tahadhari

MVUA zilizoanza kunyesha sehemu mbalimbali nchini, zimeashaanza kuleta maafa kwa baadhi ya watu kukosa makazi. Moja ya habari za kwenye Gazeti hili juzi, zilihusu maafa makubwa yaliyosababishwa na mvua hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuchukue tahadhali zaidi dhidi ya Ebola

TAARIFA za baadhi ya vyombo vya habari jana kwamba mtu aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya, zimewashitua wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani