Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chalinze kama Kalenga, tuchukue hatua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika Jimbo la Chalinze umekwisha huku idadi ya wapiga kura ikizidi kupungua siku hadi siku. Kila uchao tumeendelea kushuhudia chaguzi nyingi hasa za marudio, kuanzia ngazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuchukue hatua mapema kuepuka majanga

Leo katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna taarifa ya kusikitisha ya vifo vya watu zaidi ya 38 waliofariki dunia mkoani Shinyanga, baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?

ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka watu wangapi wafe Kiteto ndipo tuchukue hatua?

UKIFUATILIA migogoro ya ardhi nchini na jinsi ilivyoleta athari, unaweza kujiuliza kwanini Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, asijiuzulu. Hakuna ubishi kwamba suala la migogoro ya...

 

9 years ago

StarTV

Uwekezaji Mohamed Dewji Mo  kwa Simba upo hatua za mwisho za mazungumzo

 

Klabu ya Simba imesema ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo juu ya uwekezaji wa mfanyabiashara maarufu hapa nchini Mohamed Dewji Mo ambaye anatarajia kuwekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 20 katika Klabu hiyo.

Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba Kaburu Nyange,ameiambia Star tv kwa njia ya simu kuwa, Uongozi wa klabu hiyo unafuatilia kwa umakini juu ya uwekezaji huo ambao Wanachama wa Klabu hiyo ndio watakaotoa maamuzi ya mwisho.

Kaburu amesema Klabu hiyo inapaswa kubadilika na kuendeshwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama upo hai bado kuna matumaini

NIANZE na nilichokiona juzi wakati napita maeneo fulani jijini Dar es Salaam. Kilikuwa ni kitu cha kusikitisha ambacho kama vijana lazima tukiwekee mkazo na tujifunze. Mara nyingi tumejikuta tukifanya uamuzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio

Zaidi ya miaka 30 tangu mgonjwa wa kwanza wa ukimwi kugunduliwa Tanzania, lakini madhara yake bado yanaonekana: kiuchumi na jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani