Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Chalinze usirudie makosa ya Kalenga

Uchaguzi wa ubunge katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ulimalizika mwishoni mwa wiki na Chama cha Mapinduzi (CCM), kiliibuka mshindi. Uchaguzi huo ulikuwa wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Dk. William Mgimwa aliyefariki dunia Januari mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Daily News

Kalenga, Chalinze polls in pipeline


Kalenga, Chalinze polls in pipeline
Daily News
POLITICAL parties have been urged to maintain peace and promote democracy in the coming parliamentary by-election in Kalenga, Iringa and Chalinze in Coast Region. The Registrar of Political Parties, Justice Francis Mutungi, said in a statement on ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunalo la kujifunza Kalenga, Chalinze

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika majimbo ya Kalenga mkoani Iringa na Chalinze mkoani Pwani, umemalizika kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanikiwa kuyatetea. Vyama kadhaa vya siasa vilishiriki uchaguzi huo, lakini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chalinze kama Kalenga, tuchukue hatua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika Jimbo la Chalinze umekwisha huku idadi ya wapiga kura ikizidi kupungua siku hadi siku. Kila uchao tumeendelea kushuhudia chaguzi nyingi hasa za marudio, kuanzia ngazi...

 

11 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Pichani Kati ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Mh.Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza mbele ya Waandishi wa habari mapema leo mchana,kwenye moja ya ukumbi wa mikutano ya Hill Top Hotel,mjini Iringa kuhusiana na ufafanuzi wa Daftari la Kududumu la Wapiga Kura litakalotumika katika Uchaguzi wa Ubunge jimbo la Kalenga,unaotarajiwa kufanyika machi 16 mwaka huu.Jaji Lubuva amebainisha kuwa Tume haijafanya Uboreshaji kwa maana ya kuandikisha Wapiga kura wapya ambao hawakuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga

>Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumuzi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Ubunge kufanyika leo Kalenga

Uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga, Iringa unafanyika leo huku kukiwa na masuala yenye utata ambayo huenda yakasababisha malalamiko baada ya matokeo kutangazwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Kalenga na roho iliyo mkononi

Demokrasia ni mfumo wa siasa unaotoa fursa ya watu kuwa na haki ya kuchagua, kuchaguliwa na kuiwakilisha jamii katika ngazi za katika uamuzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani