Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


5 waambukizwa ebola kila baada ya saa

SHIRIKA la Msaada la Save the Children limeonya kuwa kiwango cha maambukizi kilichopo sasa nchini Sierra Leone, kinamaanisha kuwa nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa na tiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa

SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.

Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 2 waambukizwa Ebola Liberia

Madada wawili wameambukizana ugonjwa hatari wa Ebola nchini Liberia baada ya kuenezwa kutoka nchini Guinea ambako umewaua watu 78.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 4 waambukizwa Ebola Conakry

Wataalamu wa afya wanasema wamewatenga watu 4 katika wadi ya hospitali moja mjini humo. Zaidi ya watu 60 wamefariki nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani