Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.

Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Kila saa moja watu 10 wanakufa kwa Malaria

Na Albano Midelo UGONJWA wa malaria umeuwa watu 652 katika mkoa wa Ruvuma mwaka 2011 kati ya wagonjwa zaidi ya 43,000 waliougua ugonjwa huo katika kipindi hicho. Mratibu wa malaria mkoani Ruvuma, Kibua Kakolwa anabainisha kuwa kati ya wagonjwa waliopoteza maisha watoto chini ya umri wa miaka mitano walikuwa 334 na wenye umri wa zaidi ya miaka mitano walikuwa 318. Kwa mujibu wa mratibu huyo wa malaria katika mwaka huo pekee mkoa ulilaza wagonjwa wenye umri chini ya miaka mitano wapatao...

 

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI


 Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki  majina hili kupata fursa ya kupiga kuraHapa ni karatasi ya upigaji kura kuanzia ya urais ubunge na udiwani baada ya kuhakiki jina lako unakuja hapa na kukabiziwa karatasi hizi tatu ili kukamirisha  zoezi zima na upigaji kura. Mwanachi akiakiki jina lake kwenye ubao wa majina ya wapigaji kura kituoni hapo
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO yasema watu wengi Ulaya ni wanene

Shirika la Afya Duniani limesema watu wengi Ulaya ni wanene kupita kiasi na kuonya kwamba vijana wa sasa huenda wasiwe na maisha marefu.

 

9 years ago

Mwananchi

Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar

Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

5 waambukizwa ebola kila baada ya saa

SHIRIKA la Msaada la Save the Children limeonya kuwa kiwango cha maambukizi kilichopo sasa nchini Sierra Leone, kinamaanisha kuwa nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa na tiba.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC

Watu bilioni moja huenda wakaambukizwa virusi vya corona kote duniani na mambo pengine yabadilike, nchi zisizojiweza zinahitaji usaidizi wa haraka Shirika la kutoa msaada limeonya.

 

10 years ago

Habarileo

Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa

SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

9 years ago

Global Publishers

Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini

Rescissione-Sergi-GuardiolaSergi Guardiola.

Barcelona, Hispania

KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.

Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.

SERGI_GUARDIOLA_GETAFEKiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.

Walichokisema...

 

10 years ago

Habarileo

TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume hiyo, Dk Fatma MrishoTUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani