TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T34Tk2k1iLU/XmJey8EuYWI/AAAAAAALhlU/0KAwcfgtxOsezi1bGx9wEGgks4vqY0GrwCLcBGAsYHQ/s72-c/cc5c3b1c-fe1f-4d84-97bb-a1a1d9192272.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.
Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Kila saa moja watu 10 wanakufa kwa Malaria
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s72-c/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s640/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki majina hili kupata fursa ya kupiga kura
![](http://2.bp.blogspot.com/-I-_GT_Dmufs/VixdwFfiWQI/AAAAAAAEDCM/omlq8skLY6s/s640/12108172_1349776185036796_947448282307777563_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovvBR0y4W7s/VixchMoKJiI/AAAAAAAEDBc/gLo-M3vGmWA/s640/12042905_982954431746891_8111603354285238081_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VGRfEdcil1I/Vixchg6SFmI/AAAAAAAEDBk/kwEkxdST6qs/s640/12141532_982955748413426_5171724414566659013_n.jpg)
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
WHO yasema watu wengi Ulaya ni wanene
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar
10 years ago
Habarileo03 Oct
5 waambukizwa ebola kila baada ya saa
SHIRIKA la Msaada la Save the Children limeonya kuwa kiwango cha maambukizi kilichopo sasa nchini Sierra Leone, kinamaanisha kuwa nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa na tiba.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC
10 years ago
Habarileo04 Oct
Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa
SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini
Sergi Guardiola.
Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.
Kiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.
Walichokisema...
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.