Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wanaoishi na VVU wakosa kliniki

Asilimia 73 ya watoto wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), hawafikishwi katika kliniki maalumu ili kupatiwa dawa za kufubaza makali ya ugonjwa huo, badala yake ni asilimia 27 pekee ndiyo waliopo katika matibabu ya ART (ARV).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU MTWARA WAKOSA MAHALI PA KUISHI

Meneja wa Vodacom kanda ya Kusini, Henry Tzamburakis akikabidhi msaada wa chakula kwa kituo cha wa watoto yatima cha EAGT Rahaleo Manispaa ya Mtwara Mikindani. Wanaopokea msaada huo kutoka (kushoto) ni watoto wanaoishi katika mazingira magumu Yasunta Rawland,  Boniface Seleman, Mkurugenzi wa kituo cha kulelea watoto cha EAGT Mtwara, Caroline Mkwele, Askofu wa kanisa la EAGT Rahaleo Mtwara pia (mwasisi wa kituo) George Mrope....

 

10 years ago

Habarileo

Watoto, wanaoishi na VVU waongoza mahitaji ya damu

ASILIMIA 90 ya damu yote inayohitajika kwa watoto, huwekewa watoto wanaoumwa malaria wakati asilimia 52 ya damu inahohitajika kwa watu wazima hutumiwa na wenye ugonjwa wa Ukimwi.

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI

Na Ahmed Mahmoud, Arusha
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.

Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

DC Iringa awaasa wanaoishi na VVU


NA TUMAINI MSOWOYA, IRINGA
MKUU wa wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba, amewataka wananchi wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi  (VVU), kutokata tamaa, badala yake wafuate masharti ya dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
Alitoa wito huo wakati Shirika la  Utafiti wa Tiba na Afya Barani Afrika, (AMREF),  lilipokuwa likitoa msaada wa baiskeli 50 kwa vikundi 17 kati ya 36 vya watoto salama, vinavyoundwa na wanawake wenye  VVU,  Iringa Vijijini.
Alisema kuishi na VVU sio mwisho wa maisha,...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.

 Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa watoto wanaoishi kwenye kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini Mkoani Dodoma.Meneja wa kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini kilichopo Dodoma  Padiri Vicent, kwa niaba ya watoto wa kituo hiko, akimshukuru Bi. ziada Nkinda kwa kukabidhi zawadi zilizotolewa na Mhe. Rais...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto wanaoishi mazingira hatarishi wapewa ujuzi

HALMASHAURI zote nchini, zimetakiwa kuona umuhimu wa kutenga fedha katika bajeti zao ili kuweza kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, pia wale ambao hawana malezi maalumu. Ushauri huo umetolewa juzi...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali

MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.

 

10 years ago

Vijimambo

KONGAMANO LA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Kaimu Kamishna Msaidizi Kitengo cha huduma kwa familia, watoto, malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Philbert Kawemama (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akifungua semina ya siku moja inayohusu watoto waishio katika mazingira hatarishi na kongamano la watoto hao litakalofanyika Februari 18 hadi 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu J.K Nyerere Convention Centre. Kushoto ni Kaimu Kamishna Msaidizi Huduma kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amewataka wadau kwa kushirikiana na serikali waendelee kutoa msaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani bado wengi hawajafikiwa.

Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.

Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani