Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali

MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Schumacher atoka hospitali

Bingwa wa zamani wa Formula 1 Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe atoka hospitali

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA WATOTO WANNE KWA MKUPUO APATA MSAADA

Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Vanessa (kushoto) iliyopo Isyesye Jijini Mbeya, Shukrani Gidion akimkabidhi Godoro Aida Nakawala mama aliyejifunguwa watoto wanne.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zambia atoka hospitali

Edgar Lungu, rais wa Zambia, aruhusiwa kutoka hospitali baada ya upasuaji

 

10 years ago

Mwananchi

Aboud Jumbe sasa atoka hospitali

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.

 

10 years ago

GPL

MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA HOSPITALI

Gladness mallya
BAADA ya mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar kwa siku saba, hatimaye ameruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kupata nafuu. Mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone. Banza aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo, Jumatano iliyopita ambapo kwa mujibu wa kaka yake ana nafuu japokuwa bado hali si shwari kwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana

>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa na baadaye kuachiwa na polisi kwa dhamana isiyokuwa na masharti.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wanaoishi na VVU wakosa kliniki

Asilimia 73 ya watoto wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), hawafikishwi katika kliniki maalumu ili kupatiwa dawa za kufubaza makali ya ugonjwa huo, badala yake ni asilimia 27 pekee ndiyo waliopo katika matibabu ya ART (ARV).

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo kuendesha kliniki ya ushauri wa magonjwa ya goti, nyonga, bega na mfumo wa fahamu Dar

Apollo-Bangalore-swa

Kufuatia idadi kubwa ya Watanzania ambao mara kwa mara husafiri kwenda India kwa sababu tofauti tofauti za kimatibabu, wataalamu kutoka Hospitali ya Apollo, Hyderabad, wamefikia uamuzi wa kutoa tiba na ushauri wa kitaalamu kwa Watanzania kupitia kiliniki maalumu ya siku mbili itakayofanyika Dar es Salaam. Kliniki hii maalum itaendeshwa na mtaalamu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu, Dkt Alok Ranjan na mtaalamu wa upasuaji wa mifupa, Dkt Somasekhar Reddy katika hospitali ya Hindu Mandal tarehe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani