Mbowe atoka hospitali
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MBOWE ATOKA HOSPITALINI
![Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2830476/highRes/1089166/-/maxw/600/-/u4gjjw/-/pic+mbowe.jpg)
By Raymond Kaminyoge. Mwananchi
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
Mbowe aliugua ghafla Jumatatu iliyopita akiwa kwenye maandamano ya kumsindikiza mgombea urais kupitia tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa aliyekwenda katika ofisi za Tume ya Taifa ya...
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Schumacher atoka hospitali
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Rais wa Zambia atoka hospitali
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Aboud Jumbe sasa atoka hospitali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcIhjUrbmDudW*K2JmNtKjC-sDKyUjmPs98ZuKdn791BGUW40l-egz*VEeAE9M4kNr*4NpLiTCwEZ89eesf950eG/BANZA.jpg)
MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA HOSPITALI
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
10 years ago
Habarileo16 May
Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.
10 years ago
Habarileo12 Aug
Mbowe aeleza kilichomsibu hadi alazwe hospitali
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema anasumbuliwa na uchovu na ametakiwa na madaktari kupumzika kwa takribani saa 48 bila usumbufu wowote.