Aboud Jumbe sasa atoka hospitali
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Oct
Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94).
Na Mwandishi wetu
Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.
Taarifa iliyotolewa na Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.
Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Mzimu’ wa Aboud Jumbe bado unaiandama CCM
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi
5 years ago
CCM BlogMUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
11 years ago
BBCSwahili10 Sep
Schumacher atoka hospitali
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mbowe atoka hospitali
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Rais wa Zambia atoka hospitali
10 years ago
GPL
MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA HOSPITALI
10 years ago
Habarileo16 May
Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.