Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aboud Jumbe sasa atoka hospitali

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili

Aboud-Jumbe-Mwinyi1

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aboud Jumbe Mwinyi (94).

Na Mwandishi wetu

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.

Taarifa iliyotolewa na  Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.

Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mzimu’ wa Aboud Jumbe bado unaiandama CCM

>Wiki hii umefanyika uzinduzi wa maadhimisho ya kutimia miaka 37 ya Chama Cha Mapinduzi  katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Makamu na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mwesumo: Aboud Jumbe alisababisha niache kazi

>Wahenga walisema, kila zama na kitabu chake, ndivyo ilivyo siyo tu kwa watawala, bali hata maisha ya kila mwanadamu yana ‘kitabu chake.’

 

5 years ago

CCM Blog

MUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

MWANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mussa Aboud Jumbe, akipokea mkoba wenye fomu za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zazibar, kutoka kwa Katibu wa Idara ya Oganaizesheni Zanzibar, Galos Nyimbo, hapo ofisi ya chama Kisiwandui Mjini Unguja. Mussa ni mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Hayati Aboud Jumbe. (PICHA ZOTE NA ABDALLA OMAR). 

 

11 years ago

BBCSwahili

Schumacher atoka hospitali

Bingwa wa zamani wa Formula 1 Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe atoka hospitali

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zambia atoka hospitali

Edgar Lungu, rais wa Zambia, aruhusiwa kutoka hospitali baada ya upasuaji

 

10 years ago

GPL

MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA HOSPITALI

Gladness mallya
BAADA ya mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar kwa siku saba, hatimaye ameruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kupata nafuu. Mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone. Banza aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo, Jumatano iliyopita ambapo kwa mujibu wa kaka yake ana nafuu japokuwa bado hali si shwari kwani...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali

MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani