Rais wa Zambia atoka hospitali
Edgar Lungu, rais wa Zambia, aruhusiwa kutoka hospitali baada ya upasuaji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s72-c/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-aspZgrCv_OI/UxAs4D69ZwI/AAAAAAAFQLk/POlrOY9HLa8/s1600/Rais+Michael+Sata+wa+Zambia+aliponda+kumjulia+hali+Rais+kwanza+mstaafu+Mzee+Dr.Kaunda.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mbowe atoka hospitali
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ameruhusiwa kurudi nyumbani.
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Schumacher atoka hospitali
Bingwa wa zamani wa Formula 1 Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcIhjUrbmDudW*K2JmNtKjC-sDKyUjmPs98ZuKdn791BGUW40l-egz*VEeAE9M4kNr*4NpLiTCwEZ89eesf950eG/BANZA.jpg)
MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA HOSPITALI
Gladness mallya
BAADA ya mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar kwa siku saba, hatimaye ameruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kupata nafuu. Mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone. Banza aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo, Jumatano iliyopita ambapo kwa mujibu wa kaka yake ana nafuu japokuwa bado hali si shwari kwani...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Aboud Jumbe sasa atoka hospitali
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa na baadaye kuachiwa na polisi kwa dhamana isiyokuwa na masharti.
10 years ago
Habarileo16 May
Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Rais wa Algeria atoka hospitalini
Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amerudi nchini Algeria baada ya kulazwa kwa siku mbili katika hospitali moja ya Ufaransa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania