Mama Salma aitaka serikali kuongeza uwekezaji.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Mke wa Rais, mama Salma Kikwete amesema bado serikali inatakiwa kuangalia uwezekano wa kuongeza uwekezaji kwenye eneo la uzazi salama na afya ya mtoto, ikiwa ni sehemu ya kuboresha maisha ya makundi hayo ambayo huwa katika hatari kubwa ya vifo iwapo hawatapata huduma bora ya afya kwa wakati.
Alisema, pamoja na huduma za uzazi, elimu kwa watoto wa kike kuhusiana na uzazi nayo inaweza kuchangia mabadiliko, na kupunguza idadi ya vifo vya uzazi.
Mama Salma...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV06 Oct
Serikali yashauriwa kuongeza uwekezaji katika elimu
Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba amesema Siku ya waalimu duniani imeadhimishwa huku Tanzania kukiwa na malalamiko mengi katika sekta ya elimu kutokana na uwekezaji mdogo.
Amesema ili kuweza kufikia malengo endelevu ya maendeleo ni lazima nchi ifanye uwekezaji wa kutosha kwa kuongeza fedhaa kwa ajili ya kuondoa malalamiko hayo.
Rais wa Chama cha Walimu Gratian Mukoba amesema ualimu ni taaluma muhimu na ni lazima ithaminiwe na kuheshimiwa kwa kuwa hatma ya taifa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
Rais Magufuli aitaka Wizara ya Afya kuongeza bajeti katika dawa za asili
![](https://1.bp.blogspot.com/-ugHb9t1tiNY/XuIvGNkNsiI/AAAAAAAEHws/4X2aVxgATicnZGwIwyqm_htZCqO4U7BxACLcBGAsYHQ/s640/12.jpg)
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma wakati akizindua Jengo la Ofisi za TARURA zilizojengwa kwenye mji wa Mtumba.
"Nimeshatoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, kile kitengo cha dawa asili kiendelezwe kwa nguvu zote na bajeti iongezwe ili watu...
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu aitaka NHIF kuongeza bidii katika kutoa elimu ya Afya kwa Jamii
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SB_Xy7KKoHA/VQ_yMqM0MuI/AAAAAAAHMYk/7Vke0JDFxzk/s72-c/MMGL1123.jpg)
ICF na TIC Kuongeza Uwekezaji Nchini
Katika makubaliano...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA MAMA GRACA MACHEL KWENYE OFISI ZA WAMA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NsQ_l5mt9o0/VfWQPvmyoQI/AAAAAAAAzAw/AWfaTLY_G48/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA, NAPE NA MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-NsQ_l5mt9o0/VfWQPvmyoQI/AAAAAAAAzAw/AWfaTLY_G48/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0U3pcgc34Sk/VfWQP_Do12I/AAAAAAAAzA0/Etsz5_Zs9H0/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1c3ZHsPxO8/XunwfXx1GbI/AAAAAAALuM4/86ZVrJreKV47j1IqUXfDeCOqYlramCReACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.23.19%2BPM.jpeg)
WAZIRI UMMY AITAKA BODI MPYA YA TMDA KUWEZESHA UKUAJI WA UCHUMI NA USHAMIRI WA BIASHARA NA UWEKEZAJI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1c3ZHsPxO8/XunwfXx1GbI/AAAAAAALuM4/86ZVrJreKV47j1IqUXfDeCOqYlramCReACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.23.19%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Crdpk_yhG3c/XunxD-eO-XI/AAAAAAALuNQ/_XlN3gNSdH4Mh6yZtDCx-Cd6v7wHgzaMgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.25.40%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-TJAwLZZOLUw/XunwhamtAdI/AAAAAAALuNA/gTCtbpjvv6M16lVcVPP0Wa5rt82dYxA0QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.26.33%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)