Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICF na TIC Kuongeza Uwekezaji Nchini

Taasisi inayoshughulikia mazingira ya Uwekezaji Barani Afrika (ICF-Africa) na Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) leo wamesaini makubaliano ya kusaidia kuvutia na kuongeza uwekezaji wa ndani na nje hapa nchini. Makubaliano hayo yamesainiwa leo na Mwenyekiti Mwenza wa ICF ambaye pia ni Rais mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa na kwa upande wa serikali ya Tanzania yamesainiwa na Waziri wa nchi Uwekezaji na Uwezeshaji Mheshimiwa Christopher Kajoro Chiza.
Katika makubaliano...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BODI MPYA YA KITUO CHA UWEKEZAJI NCHINI (TIC) YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza jambo na Mwenyekiti mpya wa bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Prof. Lucian Msambichaka (wa pili kushoto) wakati alipozindua bodi mpya ya kituo hicho Jumatatu wiki hii jijini Dar es Salaam. Wengine ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Bi. Juliet kairuki (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Bw. Raymond Mushi (kushoto).  Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza jambo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TIC kukuza uwekezaji Mtwara

KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema kitaendelea kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, ili kuendelea kuhamasisha na kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi katika mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC





 






Na Mwandishi wetu, Uvinza.

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.

Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta  3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...

 

5 years ago

Michuzi

TIC yahimiza uwekezaji wa Kilimo cha Chikichi

Na Mwandishi Wetu, Kigoma.

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Trolle Meesle Tanzania Limited ya Mkoani Kigoma inaandaa mafunzo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wakulima wanachama wa vyama vinane vya ushirika vyenye wanachama 1,850 wanaojishughulisha na kilimo cha michikichi Mkoani humo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Geoffrey Mwambe (Wa Kwanza Kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwekezaji wa Kampuni Trolle Meesle Tanzania Limited Bw....

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) chasajili miradi 885

DSC00437

Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Pendo Gondwe (katikati), akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na usajili wa miradi 885 wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Ofisa Mwandamizi Huduma kwa Wawekezaji Kituo hicho, Patrick Chove na kulia ni  Ofisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO), Frank Mvungi.(Picha na Maktaba).

Frank Mvungi-Maelezo

Kituo cha uwekezaji Tanzania chasajili (TIC)...

 

11 years ago

Michuzi

TIC kuongoza kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara jijini Dar

Mkurugenzi wa Huduma wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bi. Nakuala Senzia (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuhusiana na kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara linalotarajiwa kuanza kesho jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Meneja Mawasiliano wa TIC Bi. Pendo Gondwe, (katikati) na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Paul Omara. Benki hiyo ndiyo inayodhamini mkutano huo. Meneja Mawasiliano wa TIC Bi....

 

11 years ago

Michuzi

TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (wa pili kushoto) akisaini Mikataba ya Makubaliano ya Uwekezaji na Wakuu wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa,wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo (wa pili kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Mh. Yohana Balele (kushoto).Wanaoshuhudia ni Waziri wa Viwanda na Biashara,Mh. Abdallah Kigoda pamoja na Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),Mh. Aggrey Mwanri.na Kulia ni Mwenyekiti wa Kongamano la...

 

11 years ago

Michuzi

TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

 Makamu wa Rais,Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki wakati alipotembelea Banda la Kituo hicho kwenye Maonyesho ya Kongamano la Uwekezaji yaliyoanza jana kwenye hoteli ya Malaika jijini Mwanza .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo ambaye ndie Mwenyeji wa Kongamano hilo.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (katikati) akisaini Mikataba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani