Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BODI MPYA YA KITUO CHA UWEKEZAJI NCHINI (TIC) YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza jambo na Mwenyekiti mpya wa bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Prof. Lucian Msambichaka (wa pili kushoto) wakati alipozindua bodi mpya ya kituo hicho Jumatatu wiki hii jijini Dar es Salaam. Wengine ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Bi. Juliet kairuki (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Bw. Raymond Mushi (kushoto).  Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza jambo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) chasajili miradi 885

DSC00437

Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Pendo Gondwe (katikati), akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na usajili wa miradi 885 wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Ofisa Mwandamizi Huduma kwa Wawekezaji Kituo hicho, Patrick Chove na kulia ni  Ofisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO), Frank Mvungi.(Picha na Maktaba).

Frank Mvungi-Maelezo

Kituo cha uwekezaji Tanzania chasajili (TIC)...

 

11 years ago

Michuzi

TIC kuongoza kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara jijini Dar

Mkurugenzi wa Huduma wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bi. Nakuala Senzia (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuhusiana na kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara linalotarajiwa kuanza kesho jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Meneja Mawasiliano wa TIC Bi. Pendo Gondwe, (katikati) na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Paul Omara. Benki hiyo ndiyo inayodhamini mkutano huo. Meneja Mawasiliano wa TIC Bi....

 

9 years ago

Michuzi

GEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA KWA KUTOA MSAADA WA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIJIJI CHA FURAHA KILICHOPO MBWENI JIJINI DAR

Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akimkabidhi mlezi wa kituo hicho Sr Restituta Kijja sehemu ya msaada huo. Meneja Mafao wa Mfuko wa GEPF Bi Salma Mtaulah nae akimkabidhi Mlezi wa kituo mafuta ya kupikia.maafisa wa GEPF pamoja na mlezi wa kituo wakifurahia jambo na watoto wa kijiji cha Furaha kilichopo Mbweni.baadhi ya watoto wa kituo hicho wakiwa katika picha ya pamoja kwa furaha baada ya kukabidhiwa msaada wa vyakula na Mfuko wa GEPF.

 

10 years ago

Michuzi

ICF na TIC Kuongeza Uwekezaji Nchini

Taasisi inayoshughulikia mazingira ya Uwekezaji Barani Afrika (ICF-Africa) na Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) leo wamesaini makubaliano ya kusaidia kuvutia na kuongeza uwekezaji wa ndani na nje hapa nchini. Makubaliano hayo yamesainiwa leo na Mwenyekiti Mwenza wa ICF ambaye pia ni Rais mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa na kwa upande wa serikali ya Tanzania yamesainiwa na Waziri wa nchi Uwekezaji na Uwezeshaji Mheshimiwa Christopher Kajoro Chiza.
Katika makubaliano...

 

10 years ago

Michuzi

TANESCO YASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA CHAKUWAMA,SINZA JIJINI DAR

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Mhandisi Decklan Mhaiki akizungumza na wanahabari mara baada ya kutembelea maeneo mbali mbali ya kituo cha cha kulea Watoto Yatima cha CHAKUWAMA,ambapo amefarijika sana kuona maendeleo ya watoto katika kituo hicho.ambapo waliweza kuwapatia watoto hao vifaa vya shule na vyakula kama sehemu ya mchango wao.Kituo hicho kipo Sinza Mori,Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha CHAKUWAMA,Hassan Hamis (kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

TIC yahimiza uwekezaji wa Kilimo cha Chikichi

Na Mwandishi Wetu, Kigoma.

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Trolle Meesle Tanzania Limited ya Mkoani Kigoma inaandaa mafunzo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wakulima wanachama wa vyama vinane vya ushirika vyenye wanachama 1,850 wanaojishughulisha na kilimo cha michikichi Mkoani humo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Geoffrey Mwambe (Wa Kwanza Kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwekezaji wa Kampuni Trolle Meesle Tanzania Limited Bw....

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI MPYA YA SIMU YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Ofisa Biashara wa Manispaa ya Kinondoni, Ananias Kamundu (wa tatu kushoto), akipata maelezo kuhusu bidhaa za kampuni mpya ya simu za mkononi ya Halotel katika hafla ya uzinduzi rasmi wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Kampuni ya Viettel Tanzania wamiliki wa Halotel,  Nguyen Thanh Quang na wageni wengine waalikwa. Ofisa Biashara wa Manispaa ya Kinondoni, Ananias Kamundu (kushoto), na Mkurugenzi  wa kampuni mpya ya simu za mkononi wa Halotel  Mkoa wa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Viongozi wakuu wa kampuni ya Smart Telecom,Afrika Masharikii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi waliojipatia zawadi kupitia mtandao huo,baada ya kushiriki kwenye kampeni ya GIVE US A NAME iliofanyika hivi karibuni.  Pichani kati ni Balozi wa Kampuni hiyo ya simu iliyozinduliwa leo jijini Dar,Msanii wa maigizo ya vichekesho atambulikae kwa jina la Hemed Maliyaga a.k.a Mkwere Orijini akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Smart Telecom,Afrika Mashariki,Abdullatif Bouziani (shoto)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani