Lunyamila aionya Yanga
Mchezaji wa zamani wa Yanga, Edibily Lunyamila amewaonya Wanayanga wanaoanzisha malumbano na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji kuwa makini wasisababishe vurugu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Lunyamila asimamisha usajili Yanga
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Lunyamila azichambua Azam FC, Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
TFF kumsaidia Lunyamila
SHIRIKISHO La Soka Tanzania (TFF), limejitosa katika harakati za kumsaidia nyota wa zamani wa klabu ya Yanga na timu za taifa za Tanzania, Edibily Jonas Lunyamila, aliyelazwa katika Hospitali ya...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kocha Maximo awagawa Chambua,Lunyamila
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Lowassa aionya Serikali
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA mgombea urais wa Chadema chini ya mwavuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, amezitahadharisha mamlaka mbalimbali kuacha kuwaandama wafanyabiashara na wananchi waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba, mwaka jana.
Lowassa ametoa tahadhari hiyo wakati akitoa salamu za Mwaka Mpya kwenye ibada ya shukrani iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Ushirika...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dk. Mbasa aionya serikali
MBUNGE wa Bihalamuro, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana kama itashindwa kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Butiku aionya CCM
11 years ago
Michuzi.jpg)
MWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO
.jpg)
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam.
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais