Kocha Maximo awagawa Chambua,Lunyamila
Kiwango duni cha uchezaji Yanga kimewatia kiwewe mashabiki, wanachama na baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu hiyo wanaodai kocha Marcio Maximo ndiye chanzo lazima awajibiashwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Kocha Maximo aibeza Simba Mtani Jembe
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Marcio Maximo, amewabeza mahasimu wao wa soka nchini Simba kwa kusema pambano la Nani Mtani Jembe alimuumizi kichwa na...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kocha Maximo atimkia kwao, aacha maagizo
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Okwi, Kiiza wampasua kichwa kocha Maximo
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Kocha Maximo amtwisha Nsajigwa zigo la Kagame
10 years ago
Michuzikadhia ya kocha Marcio Maximo yaibu mazito Yanga!
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1woB2S6sQ1U/U7emH6l6JBI/AAAAAAAFvHg/2SX6wHIPVtI/s72-c/MMGL0008.jpg)
Yanga yaendelea kujifua mchangani chini ya Kocha Marcio Maximo
![](http://1.bp.blogspot.com/-1woB2S6sQ1U/U7emH6l6JBI/AAAAAAAFvHg/2SX6wHIPVtI/s1600/MMGL0008.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 May
TGNP Mtandao ya Chambua Bajeti na Wahariri wa Vyombo vya Habari
Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jana.
Mmoja wa wachambuzi wa sera wa TGNP Mtandao, Agnes Lukaya akiwasilisha matokeo ya tafiti mbalimbali za TGNP zilizofanywa kwa jamii.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Usu Mallya (kushoto) akiwasilisha mada yake kwa wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa TGNP na wahariri hao.
Juu ni baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mada...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Lowassa awagawa CUF, Chadema
MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...