Kocha Maximo atimkia kwao, aacha maagizo
Kocha Marcio Maximo ameondoka nchini jana kwenda kwao Brazil kwa mapumziko ya wiki mbili huku akiwapa wachezaji wake programu kali ya mazoezi ya siku 10.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPi8ITDN-D6u3EQcSr5f5jiFIy*omumexKqsmfntV3Chx2ZKrUSdqVTQqI45O08V3mY0zpkFVZHN8gfrPrwL-sEr/tambwe.jpg)
Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao
Mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli Â
MAISHA ya mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe katika kikosi hicho hivi karibuni yameonekana kuwa magumu na kujikuta uso wake ukipoteza furaha kila kukicha huku akibubujikwa na machozi bila ya kutarajia. Hali hiyo inatokana na kushindwa kung’ara katika mechi mbili za kirafiki ambazo Simba imecheza huko mjini Unguja ilikopiga kambi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb2N04mUI4e8ZkJ-6bgCIYkJV*5Fcmql61q*UORn78rYjJ6xMaugFrwlxqEVwf0PJ-*AaVWo*Z7rE7pqOcYyiJ6Z/KOCHA.gif?width=650)
Kocha Loga aacha timu, ajifua mwenyewe
Na Martha Mboma
KATIKA hali ya kufurahisha na ambayo haijazoeleka hapa nchini, juzi kocha wa Simba aliacha kuwafundisha wachezaji wake na kufanya mazoezi mwenyewe. Mazoezi ya Simba ambayo yalikuwa yanafanyika kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam, yalisimamiwa na kocha msaidizi, Selemani Matola, huku Loga akifanya yake mwenyewe pembeni mwa uwanja. Championi lilishuhudia tukio hilo wakati timu hiyo ikiwa katika mazoezi...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Maximo aaga Yanga arudi kwao Brazil
Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameondoka kurudi kwao Brazil na kuitakia klabu yake ya zamani kila la kheri.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Kocha wa Simba arejea kwao
Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amerudi kwao Serbia na bado haijajulikana kama atarudi kuifundisha klabu hiyo.
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kocha Maximo awagawa Chambua,Lunyamila
Kiwango duni cha uchezaji Yanga kimewatia kiwewe mashabiki, wanachama na baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu hiyo wanaodai kocha Marcio Maximo ndiye chanzo lazima awajibiashwe.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Okwi, Kiiza wampasua kichwa kocha Maximo
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amesema mchezaji yeyote mwenye ubinafsi hana nafasi kwenye kikosi chake, huku akishindwa kujua yupi wa kumuacha kati ya wachezaji wawili wa kimataifa.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Kocha Maximo amtwisha Nsajigwa zigo la Kagame
>Katika hali inayoonekana kuwa na hofu ya kuchafua rekodi yake mapema Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameikacha michuano ya Kagame kwa kumpa jukumu kocha wa timu ya vijana, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ kuhakikisha anarudi na ubingwa wa Kombe la Kagame.
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Kocha Maximo aibeza Simba Mtani Jembe
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Marcio Maximo, amewabeza mahasimu wao wa soka nchini Simba kwa kusema pambano la Nani Mtani Jembe alimuumizi kichwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania