Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Maximo atimkia kwao, aacha maagizo

Kocha Marcio Maximo ameondoka nchini jana kwenda kwao Brazil kwa mapumziko ya wiki mbili huku akiwapa wachezaji wake programu kali ya mazoezi ya siku 10.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao

Mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli  
MAISHA ya mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe katika kikosi hicho hivi karibuni yameonekana kuwa magumu na kujikuta uso wake ukipoteza furaha kila kukicha huku akibubujikwa na machozi bila ya kutarajia. Hali hiyo inatokana na kushindwa kung’ara katika mechi mbili za kirafiki ambazo Simba imecheza huko mjini Unguja ilikopiga kambi...

 

11 years ago

GPL

Kocha Loga aacha timu, ajifua mwenyewe

Na Martha Mboma
KATIKA hali ya kufurahisha na ambayo haijazoeleka hapa nchini, juzi kocha wa Simba aliacha kuwafundisha wachezaji wake na kufanya mazoezi mwenyewe. Mazoezi ya Simba ambayo yalikuwa yanafanyika kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam, yalisimamiwa na kocha msaidizi, Selemani Matola, huku Loga akifanya yake mwenyewe pembeni mwa uwanja. Championi lilishuhudia tukio hilo wakati timu hiyo ikiwa katika mazoezi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maximo aaga Yanga arudi kwao Brazil

Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameondoka kurudi kwao Brazil na kuitakia klabu yake ya zamani kila la kheri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Simba arejea kwao

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amerudi kwao Serbia na bado haijajulikana kama atarudi kuifundisha klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Maximo awagawa Chambua,Lunyamila

Kiwango duni cha uchezaji Yanga kimewatia kiwewe mashabiki, wanachama na baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu hiyo wanaodai kocha Marcio Maximo ndiye chanzo lazima awajibiashwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi, Kiiza wampasua kichwa kocha Maximo

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amesema mchezaji yeyote mwenye ubinafsi hana nafasi kwenye kikosi chake, huku akishindwa kujua yupi wa kumuacha kati ya wachezaji wawili wa kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Maximo amtwisha Nsajigwa zigo la Kagame

>Katika hali inayoonekana kuwa na hofu ya  kuchafua rekodi yake mapema Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameikacha  michuano ya Kagame kwa kumpa jukumu kocha wa timu ya vijana, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’  kuhakikisha anarudi na ubingwa wa Kombe la Kagame.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kocha Maximo aibeza Simba Mtani Jembe

KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Marcio Maximo, amewabeza mahasimu wao wa soka nchini Simba kwa kusema pambano la Nani Mtani Jembe alimuumizi kichwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani