Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa Simba arejea kwao

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic amerudi kwao Serbia na bado haijajulikana kama atarudi kuifundisha klabu hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA CHINA AREJEA NCHINI KWAO.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao (kushoto) pamoja na Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe, Dkt. Gharib Bilal (kulia) wakipeana maneno ya mwisho katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ikiwa ishara ya kuagana baada ya kumaliza ziara yake ya siku sita.   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na na Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe, Dkt. Gharib Bilal (kushoto) katika Uwanja...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Maximo atimkia kwao, aacha maagizo

Kocha Marcio Maximo ameondoka nchini jana kwenda kwao Brazil kwa mapumziko ya wiki mbili huku akiwapa wachezaji wake programu kali ya mazoezi ya siku 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi arejea Simba

Uongozi wa Simba umemrudisha kundini mshambuliaji wake wa zamani, Emmanuel Okwi ukisema umechukua hatua hiyo: “Kumsitiri ili asipoteze kipaji chake” baada ya watani wake wa jadi Yanga, kumshtaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude arejea Simba

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAMZUIA LOGA KURUDI KWAO

Kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic. Na Nicodemus Jonas
UONGOZI wa Klabu ya Simba umegoma kumpa ruhusa ya kupumzika kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic, baada ya kocha huyo kuomba mapumziko ya muda. Msemaji wa Simba, Asha Muhaji, amesema Loga aliomba likizo fupi wiki kadhaa zilizopita, lakini ikashindikana kutokana na ratiba ya ligi kubana.…

 

10 years ago

GPL

Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao

Mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli  
MAISHA ya mshambuliaji wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe katika kikosi hicho hivi karibuni yameonekana kuwa magumu na kujikuta uso wake ukipoteza furaha kila kukicha huku akibubujikwa na machozi bila ya kutarajia. Hali hiyo inatokana na kushindwa kung’ara katika mechi mbili za kirafiki ambazo Simba imecheza huko mjini Unguja ilikopiga kambi...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga kila siku kwao sherehe, Simba bado

YANGA jana ilizidi kuchanja mbuga kuelekea kutetea taji lake la Ligi Kuu baada ya jana kuifunga Mbeya City mabao 3-0. Ushindi huo umeifanya Yanga ifikishe pointi 33 kwenye msimamo ikiwa kileleni.

 

10 years ago

Michuzi

OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...

 

9 years ago

Vijimambo

MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA

 Ustadh Maftah  wa New York akiwa Kilwa aliturushia hii kuonyesha kuwa mkataa kwao ni mtubwa hapa Ustadh Mafutah akiwa na shangazi yake Zureha bint Maftah wakielekea kisiwani kutoka Kilwa masoko Lindi.
 Hii ni ramani ya kisiwani, kisiwa hiki ni maarufu sana katika karne ya 9 kilikuwa kina milikiwa na sultan Ali bin Al-Hasan hapa ndipo palikuwa makazi yake katika karne hiyo ya 9 hadi karne ya 15.  Alijenga Msikiti mkubwa sana na alifanya kituo kikubwa cha kubairishia watumwa na kuwasafirisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani