Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF kumsaidia Lunyamila

SHIRIKISHO La Soka Tanzania (TFF), limejitosa katika harakati za kumsaidia nyota wa zamani wa klabu ya Yanga na timu za taifa za Tanzania, Edibily Jonas Lunyamila, aliyelazwa katika Hospitali ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lunyamila aionya Yanga

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Edibily Lunyamila amewaonya Wanayanga wanaoanzisha malumbano na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji kuwa makini wasisababishe vurugu.

 

10 years ago

Mwananchi

Lunyamila azichambua Azam FC, Yanga SC

 Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Edibily Lunyamila amezichambua Azam na Yanga na kuzitaka ziondoe upungufu uliomo kwenye vikosi vyao kabla ya kuanza kwa michuano ya Afrika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

Lunyamila asimamisha usajili Yanga

Winga wa zamani wa Yanga, Edibily Lunyamila. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam
WAKATI Yanga ikipiga hesabu za kusajili baadhi ya wachezaji kutoka timu za Ligi Kuu Bara kuimarisha kikosi chake, winga wa zamani wa timu hiyo, Edibily Lunyamila amesema haina haja kwa klabu hiyo kusajili wachezaji wa ndani. Badala yake Lunyamila akasisitiza, Yanga inapaswa kusajili wachezaji au mchezaji wa kigeni mzoefu ili ifanye vizuri katika Ligi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Maximo awagawa Chambua,Lunyamila

Kiwango duni cha uchezaji Yanga kimewatia kiwewe mashabiki, wanachama na baadhi ya wachezaji wa zamani wa klabu hiyo wanaodai kocha Marcio Maximo ndiye chanzo lazima awajibiashwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajitokeza kumsaidia Kiwele

Siku moja baada ya Gazeti la Mwananchi kuandika makala ikimuhusu kijana Frank Kiwele akiomba msaada kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kibofu cha mkojo na njia ya haja kubwa, wasamaria wema wameanza kujitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya matibabu.

 

10 years ago

Michuzi

MWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO



Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja  na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam. 
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...

 

11 years ago

Mwananchi

Kificho ateua washauri 20 kumsaidia

Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, ameteua timu ya wajumbe 20 wa bunge hilo kwa ajili ya kumsaidia katika mchakato wa kuandaa rasimu ya kanuni za uendeshaji wa chombo hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WOLAT yajitokeza kumsaidia mjane

KITUO cha Msaada wa Kisheria kwa Wajane, Wagane na Yatima (WOLAT), kimeazimia kumpatia msaada wa kisheria Latifa Rwayemamu. Hatua hiyo inakuja kufuatia makala iliyoandikwa na mwandishi mkongwe Ndimara Tegambwage kupitia...

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani