Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kificho ateua washauri 20 kumsaidia

Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, ameteua timu ya wajumbe 20 wa bunge hilo kwa ajili ya kumsaidia katika mchakato wa kuandaa rasimu ya kanuni za uendeshaji wa chombo hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz   Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF kumsaidia Lunyamila

SHIRIKISHO La Soka Tanzania (TFF), limejitosa katika harakati za kumsaidia nyota wa zamani wa klabu ya Yanga na timu za taifa za Tanzania, Edibily Jonas Lunyamila, aliyelazwa katika Hospitali ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajitokeza kumsaidia Kiwele

Siku moja baada ya Gazeti la Mwananchi kuandika makala ikimuhusu kijana Frank Kiwele akiomba msaada kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kibofu cha mkojo na njia ya haja kubwa, wasamaria wema wameanza kujitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya matibabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WOLAT yajitokeza kumsaidia mjane

KITUO cha Msaada wa Kisheria kwa Wajane, Wagane na Yatima (WOLAT), kimeazimia kumpatia msaada wa kisheria Latifa Rwayemamu. Hatua hiyo inakuja kufuatia makala iliyoandikwa na mwandishi mkongwe Ndimara Tegambwage kupitia...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumsaidia mwanao apende kusoma

Kumfundisha mwanao kusoma ni jambo muhimu sana katika maisha yake. Pamoja na ukweli kuwa kila mtoto ni wa kipekee, kuna mwongozo wa jumla kwa watoto wote, unaowasaidia kusoma.

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washauri Zimamoto iunganishwe Tanesco

SERIKALI imetakiwa kubadilisha utaratibu wa huduma za gari la zimamoto na kuzihamishia katika kitengo cha dharura cha Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), ili iwe rahisi wakati matukio ya moto yanapotokea....

 

9 years ago

Mwananchi

Mfuko wa kumsaidia mke, mtoto wa Mawazo kuanzishwa

Mwili wa aliyekuwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo (Savimbi) umezikwa leo saa tisa alasiri kijijini kwao Chikobe Jimbo la Busanda mkoani Geita nyumbani kwa mjomba wake, huku simanzi, vilio na majonzi vikitawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani