Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajitokeza kumsaidia Kiwele

Siku moja baada ya Gazeti la Mwananchi kuandika makala ikimuhusu kijana Frank Kiwele akiomba msaada kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kibofu cha mkojo na njia ya haja kubwa, wasamaria wema wameanza kujitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya matibabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFF kumsaidia Lunyamila

SHIRIKISHO La Soka Tanzania (TFF), limejitosa katika harakati za kumsaidia nyota wa zamani wa klabu ya Yanga na timu za taifa za Tanzania, Edibily Jonas Lunyamila, aliyelazwa katika Hospitali ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WOLAT yajitokeza kumsaidia mjane

KITUO cha Msaada wa Kisheria kwa Wajane, Wagane na Yatima (WOLAT), kimeazimia kumpatia msaada wa kisheria Latifa Rwayemamu. Hatua hiyo inakuja kufuatia makala iliyoandikwa na mwandishi mkongwe Ndimara Tegambwage kupitia...

 

11 years ago

Mwananchi

Kificho ateua washauri 20 kumsaidia

Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, ameteua timu ya wajumbe 20 wa bunge hilo kwa ajili ya kumsaidia katika mchakato wa kuandaa rasimu ya kanuni za uendeshaji wa chombo hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumsaidia mwanao apende kusoma

Kumfundisha mwanao kusoma ni jambo muhimu sana katika maisha yake. Pamoja na ukweli kuwa kila mtoto ni wa kipekee, kuna mwongozo wa jumla kwa watoto wote, unaowasaidia kusoma.

 

10 years ago

GPL

RAY C AAPA KUMSAIDIA DAZ BABA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Chanzo chetu cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

9 years ago

Mwananchi

Mfuko wa kumsaidia mke, mtoto wa Mawazo kuanzishwa

Mwili wa aliyekuwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo (Savimbi) umezikwa leo saa tisa alasiri kijijini kwao Chikobe Jimbo la Busanda mkoani Geita nyumbani kwa mjomba wake, huku simanzi, vilio na majonzi vikitawala.

 

10 years ago

GPL

TEMBO WAFUNGA BARABARA KUMSAIDIA MWENZAO ALIYEDONDOKA

Tembo wakiwa wamemzunguka mwenzao kumpatia msaada. SUALA la umoja si kwa wanadamu pekee bali hata wanyama kama tembo nao wanao umoja miongoni mwao. Katika tukio lililonaswa kwenye video huko nchini Afrika Kusini na kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube linawaonyesha tembo walioamua kufunga barabara na kusababisha foleni ya magari ili wamuokoe mwenzao aliyedondoka katikati ya barabara hiyo.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA NA ACCOUNT YA KUMSAIDIA MTOTO GRACE

Geraldine Ngowi na Grace Michael Mlingi wa Silver Spring MD ,wanasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Grace Mlingi MICHAEL NDASKOI MLINGI kilichotokea Leo jumapili Dar es Salam Tanzania.Msiba utakuwepo nyumbani kwao white oak,MD.
Adress :11620 Stewart lane apt.404
Silver Spring MD 20904
For additional information you can call telephone nos.202 531 2254 or 240 429 1749 na kuongea na mama au mwana.Mipango ya Kwenda nyumbani inafanyika as soon as possible. Pia unaweza kutoa rambirambi zako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani