Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Butiku: CCM ililea mtandao unaoitesa

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeulea mtandao wa watu wasiopungua 10 ambao unaendelea kukitesa ndani na nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Butiku kuishtaki CCM

Joseph ButikuNA WAANDISHI WETU

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.

Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.

Waandishi wetu...

 

11 years ago

Mwananchi

Butiku aionya CCM

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa kipo hatarini kupoteza madaraka katika uchaguzi mkuu ujao, iwapo kitafanya makosa na kuendekeza ubinafsi na utawala wa kiimla unaotokana na utamaduni wa rushwa na matumizi mabaya ya mali za umma.

 

9 years ago

Mtanzania

Butiku aunga mkono wanaohama CCM

DSC_0857NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.

Alisema makada hao walichelewa  kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.

Butiku aliyasema hayo   alipotoa mada kwenye mdahalo  wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.

Alisema   CCM ni sawa  na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.

Butiku...

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.

 

11 years ago

Mwananchi

MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja

>Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Butiku na Njelu Kasaka wamesema kuwa msimamo wa chama hicho uliotokana na vikao vyake ni kuelekea Serikali moja na siyo kama kinavyoshikilia sasa kuendelea na Muundo wa Serikali Mbili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtandao una nguvu kuivusha, kuiadhiri CCM 2015 ?

NI takriban mwaka mmoja umesalia kabla ya kipyenga cha kuanza mchakato wa kusaka jina la mwana CCM atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani. Ni ukweli usiopingika kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku amwomba JK alisitishe Bunge

 Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge la Katiba ndani ya mwezi mmoja ili kupisha maridhiano kufanyika baina ya pande mbili zinazovutana.

 

9 years ago

Habarileo

Butiku afichua siri ya Lowassa

WAKATI hekaheka za kuondoka kwa Edward Lowassa kuingia Chadema zikiwa bado zina mjadala mkali, jana Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation (MNF), Joseph Butiku ametoboa siri iliyokaa takribani miongo mitatu ya kundi la mtandao na mashtaka dhidi ya Lowassa yaliyofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi.

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku: Hii ni siku ya aibu

Joseph ButikuBaada ya vurugu hizo kuisha Jaji Warioba hakurejea na badala yake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, alisimama na kuiita siku ya aibu kwa Watanzania.

Alisema tukio la vurugu ndani ya ukumbi wa mdahalo huo limeshuhudiwa na Watanzania nchi nzima.

“Baadhi ya wahuni waliofanya tukio hilo tunawatambua hivyo katika mikutano yetu ijayo hatutawaruhusu kushuhudia midahalo yetu,” alisema.

Butiku alisema kuwa tukio hilo halitakuwa mwisho wa kuendelea kwa midahalo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani