Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Butiku: Yaliyonyofolewa Katiba Mpya yarudishwe

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusogeza mbele tarehe ya Kura ya Maoni ya Katiba inayopendekezwa, iwe mwanzo wa kutafakari na ikiwezekana kurejesha mambo ya msingi yaliyoondolewa katika Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Butiku ataja makosa mchakato Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku (pichani) amesema kuwa mchakato wa Mabadiliko ya Katiba umefikia ulipo sasa, kutokana na makosa matatu makubwa yaliyofanywa na vyama vya siasa.

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya

Joseph-ButikuNa Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema si dhambi kwa wananchi kupiga kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Feel free to reject Proposed Katiba: Butiku

>Mwalimu Nyerere Foundation executive director Joseph Butiku said on Saturday that people should feel free to vote ‘No’ against the Proposed Constitution since the law gives them powers to make decisions.

 

10 years ago

Habarileo

Butiku: Elimu kwa umma muhimu kupata Katiba

MJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku, ametaka elimu kuhusu mchakato wa Katiba itolewe kwa Watanzania walio wengi, ili siku ya kupiga kura wafanye hivyo kwa dhamira yao wenyewe.

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani