Gesi yaleta mapinduzi makubwa ya umeme
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa, ifikapo mwezi ujao umeme unaotokana na gesi unaozalishwa nchini utafikia megawati 700 sawa na asilimia 70 ya umeme wote kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yatakuwa ni mapinduzi makubwa kwani miaka mingi vyanzo vya maji ndivyo vilikuwa vikichangia kwa asilimia 70.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W4SKOVl94p0/XpqFb_rmkFI/AAAAAAALnUE/rH4zjMoD2YIt3QCiyG3AN1ObNbySDNLaQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-3AA-768x512.jpg)
MASOKO YA MADINI SINGIDA YALETA MAPINDUZI M
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4SKOVl94p0/XpqFb_rmkFI/AAAAAAALnUE/rH4zjMoD2YIt3QCiyG3AN1ObNbySDNLaQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-3AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-NA-4AAA-1024x682.jpg)
Mkaguzi wa Migodi katika machimbo ya dhahabu yanayomilikiwa na Chama chaUshirika wa Wachimbaji Wadogo wa Madini Kisonga-Shelui (UWAWAKISHE), wilayaniIramba mkoani Singida, Mohammed Salum akielezea manufaa ya masoko ya madiniyaliyoanzishwa mkoani Singida kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-NA-5AAA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
HUAWEI Tanzana yaleta mapinduzi ya mawasiliano nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Kampuni yaleta teknolojia mpya matumizi ya gesi
KAMPUNI ya nishati inayomilikiwa na Watanzania, GH Energy Resources Limited, imeleta teknolojia mpya ya kupunguza matumizi ya gesi majumbani na kwenye biashara kwa lengo la kupunguza kasi ya uharibifu wa...
11 years ago
Habarileo21 May
Mapinduzi makubwa ya viwanda
WIZARA ya Viwanda na Biashara imewasilisha bungeni bajeti yake inayoonesha mapinduzi makubwa katika viwanda, ikiwamo kuanza kwa miradi ya chuma ya Liganga na Mchuchuma na kiwanda cha kuua viluwiluwi vya mbu waenezao malaria.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NW0Yg-zv63g/U0jlJnqeU2I/AAAAAAAFaLE/hwLYldH_wU4/s72-c/unnamed+(4).jpg)
MAPINDUZI MAKUBWA YAFANYIKA KWENYE BIASHARA YA MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-NW0Yg-zv63g/U0jlJnqeU2I/AAAAAAAFaLE/hwLYldH_wU4/s1600/unnamed+(4).jpg)
Kwa mara nyingine napenda kuwashirikisha mtandao wa kitanzania ulio na nia ya kuwakomboa wafanyabiashara wadogo,wa kati na wakubwa katika kuwafikia wateja wao kwa ukaribu zaidi. Pia kupitia mtandao huu utaweza kutangaza chochote unachopenda umma ujue kwani tumethibitika kuwafikia watanzania wengi kwa siku pia hata watembeleaji wengi zaidi toka nchi za nje.
Timu ya KAJO ITECH Kwa umakini mkubwa itaendesha mtandao huu wa CHOCHOTE pia kufanikisha kuwa ndio suluhisho kwa watanzania wengi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CDgC2CcFTzk/default.jpg)