Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapinduzi makubwa ya viwanda

WIZARA ya Viwanda na Biashara imewasilisha bungeni bajeti yake inayoonesha mapinduzi makubwa katika viwanda, ikiwamo kuanza kwa miradi ya chuma ya Liganga na Mchuchuma na kiwanda cha kuua viluwiluwi vya mbu waenezao malaria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali kufanya mapinduzi ya viwanda

Serikali imeomba  ushirikiano baina yake na taasisi za fedha ili kuendeleza maeneo ya uwekezaji na kuleta mapinduzi ya viwanda nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

EPZA yajizatiti kuleta mapinduzi ya viwanda

NI ukweli usiopingika kuwa hakuna taifa duniani linaloweza kupata mafanikio ya kiuchumi bila kujenga sekta imara ya viwanda. Viwanda ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya nchi. Kwa kutambua hilo serikali...

 

9 years ago

Habarileo

Gesi yaleta mapinduzi makubwa ya umeme

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa, ifikapo mwezi ujao umeme unaotokana na gesi unaozalishwa nchini utafikia megawati 700 sawa na asilimia 70 ya umeme wote kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yatakuwa ni mapinduzi makubwa kwani miaka mingi vyanzo vya maji ndivyo vilikuwa vikichangia kwa asilimia 70.

 

11 years ago

Michuzi

MAPINDUZI MAKUBWA YAFANYIKA KWENYE BIASHARA YA MTANDAO


Kwa mara nyingine napenda kuwashirikisha mtandao wa kitanzania ulio na nia ya kuwakomboa wafanyabiashara wadogo,wa kati na wakubwa katika kuwafikia wateja wao kwa ukaribu zaidi. Pia  kupitia mtandao huu utaweza kutangaza chochote unachopenda umma ujue kwani tumethibitika kuwafikia watanzania wengi kwa siku pia hata watembeleaji wengi zaidi toka nchi za nje.
Timu ya  KAJO ITECH Kwa umakini mkubwa itaendesha mtandao huu wa CHOCHOTE pia kufanikisha kuwa ndio suluhisho kwa watanzania wengi...

 

5 years ago

Michuzi

MKOA WA KATAVI KULETA MAPINDUZI MAKUBWA YA KILIMO KWA MAZAO YA KIBIASHARA NCHINI

 Miche ya zao la korosho ambayo imeonekana kustawi vizuri ambapo kwa kuanza mkoa wamezalisha miche laki sita  na kusambaza kataika maenza mkoa wa Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Komredi Juma Homera 
Zao la pamba ambalo linaonekana kukubali katika ardhi ya katavi na linalotarajia mwaka huu  kuchakatwa Mkoani Katavi
zao la ufuta ambalo ni moja wapo ya zao lililoingia katika mfumo wa stakabadhi ghalani

Na. Josephine mallango 
Mkoa wa Katavi kuleta mapinduzi ya kilimo kwa mazao ya kibiashara nchini ...

 

10 years ago

GPL

ISLAND X ; SINEMA ILIYOTENGENEZWA NA VIJANA WA KITANZANIA NA KULETA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA TASNIA NZIMA‏

TRAILER YA MOVIE HIYO HAPA ANGALIA MOVIE NZIMA HAPA NA UONE JINSI TULIVYO NA NIA YA KULETA MAPINDUZI KATIKA TASNIA HII YA FILAMU  KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU FILAMU ZETU WASILIANA NASI 0712579102.

 

10 years ago

Michuzi

WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Maria Bilia akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya wadadisi 200 wa Sensa ya Viwanda itayofanyika nchi nzima mwezi huu. Mafunzo hayo yanafanyika chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika kilichopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es salaam.Mkuu wa chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika kilichopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es salaam Prof.Ngalinda Innocent akizungumza na wadadisi watakaokusanya takwimu za Sensa ya Viwanda mwezi huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani