Serikali kufanya mapinduzi ya viwanda
Serikali imeomba ushirikiano baina yake na taasisi za fedha ili kuendeleza maeneo ya uwekezaji na kuleta mapinduzi ya viwanda nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 May
Mapinduzi makubwa ya viwanda
WIZARA ya Viwanda na Biashara imewasilisha bungeni bajeti yake inayoonesha mapinduzi makubwa katika viwanda, ikiwamo kuanza kwa miradi ya chuma ya Liganga na Mchuchuma na kiwanda cha kuua viluwiluwi vya mbu waenezao malaria.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
EPZA yajizatiti kuleta mapinduzi ya viwanda
NI ukweli usiopingika kuwa hakuna taifa duniani linaloweza kupata mafanikio ya kiuchumi bila kujenga sekta imara ya viwanda. Viwanda ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya nchi. Kwa kutambua hilo serikali...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Serikali ya Mapinduzi ZNZ yakanusha wawakilishi kuihusisha serikali ya oman na upotevu wa nyaraka za serikali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed.
Na MAELEZO ZANZIBAR
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KWAMBA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WALIIHUSISHA SERIKALI YA OMAN NA UPOTEVU WA NYARAKA ZA SERIKALI.
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR MOHAMED ABOUD MOHAMED KATIKA TAARIFA YAKE ALIYOITOWA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAARIFA HIYO IMESEMA HAKUNA HATA MJUMBE...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg8dkDYjgQ5Jp0gG1WOsXj0-FSlNc7Vfb4mhgRmzwZfu1S2OEMZlFEAVcjl89uCiUaategzNeqFLRqQXNBHiV31x/mainda.jpg)
MAINDA KUFANYA MAPINDUZI YA INJILI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HDqi6jKuNFc/VXqsw21DzhI/AAAAAAAC6Z4/JFK1sTUgsb4/s72-c/898.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iRmUNGoIkL8/Xo3ocdSrYlI/AAAAAAALmkM/ZVMM5DcbBzs1ClH0fny3I_FpkzDf-6wEgCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-2-768x512.jpg)
ZUNGU AIAGIZA BAGAMOYO KUFANYA UHAKIKI WA VIWANDA VYOTE VILIVYOPO WILAYANI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-iRmUNGoIkL8/Xo3ocdSrYlI/AAAAAAALmkM/ZVMM5DcbBzs1ClH0fny3I_FpkzDf-6wEgCLcBGAsYHQ/s640/1AA-2-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AA-3-1024x682.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQsvDQJX75M/XsUaGgOLaZI/AAAAAAALq8U/e6o5Hx4fNecG6ZOAH618JiJaAhwIFIDWwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0037.jpg)
CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQsvDQJX75M/XsUaGgOLaZI/AAAAAAALq8U/e6o5Hx4fNecG6ZOAH618JiJaAhwIFIDWwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0037.jpg)
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...
9 years ago
Michuzi05 Sep
SERIKALI YA AWAMUA YA TANO NI YA VIWANDA
![Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa kiti cha urais Bi. Samia Suluhu Jimbo la Kawe Kata ya Msasani kwenye viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/Namanga-1.jpg)
![Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_1124.jpg)
![Mgombea mwenza wa kiti cha urais, Bi. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kawe, Kippi Warioba (kushoto) katika mkutano wa kampeni wa kwenye Viwanja vya Namanga jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_1156.jpg)