ZUNGU AIAGIZA BAGAMOYO KUFANYA UHAKIKI WA VIWANDA VYOTE VILIVYOPO WILAYANI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-iRmUNGoIkL8/Xo3ocdSrYlI/AAAAAAALmkM/ZVMM5DcbBzs1ClH0fny3I_FpkzDf-6wEgCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-2-768x512.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (mwenye kofia mbele) akiingia ndani ya kiwanda cha Exel Chemical Ltd. kilichopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kufanya ukaguzi kufuatia malalamiko ya wadau mbalimbali kuhusu uchafuzi wa mazingira. Hata hivyo uchunguzi unaendelea kuhusu tuhuma za kufanya kazi bila leseni na kukwepa kodi. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Zainabu Kawawa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04hiM0YNvLQ/XrP1Dqg04XI/AAAAAAALpYY/TbVKZKQ01f4Lp10PxosJKrZxhGm37hUFACLcBGAsYHQ/s72-c/7292aaac-b68b-4f44-98cf-99803afe8dd5.jpg)
Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
10 years ago
GPLBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Habarileo29 Jan
Bima ya Afya yaongeza muda kufanya uhakiki
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeongeza muda wa mwezi mmoja kwa wanachama wake kuweza kuhakiki taarifa zao, kabla ya kuhitimisha utaratibu huo ifikapo Februari 28, mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BgUBFMWSZdg/XpwJ--_1m2I/AAAAAAALnYo/6_ae_nGeHZw1i-g0ZtiIoxwE-4hnvQSxACLcBGAsYHQ/s72-c/1-31.jpg)
ZUNGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgUBFMWSZdg/XpwJ--_1m2I/AAAAAAALnYo/6_ae_nGeHZw1i-g0ZtiIoxwE-4hnvQSxACLcBGAsYHQ/s640/1-31.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma alipofanya ziara ya kikazi kukagua kukagua athari zilizosababishwa na korongo kubwa kando ya Mto Shaban Robert mwishoni mwa wiki.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-22.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-26.jpg)
ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s640/2-26.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-19.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-29.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Mar
MKUU WA WILAYA YA MAKETE AKABIDHI BATI 183 KWA WAATHIRIKA WA KIMBUNGA WILAYANI HUMO
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE