Wajasiriamali 21 washiriki gulio la mauzo
WAJASILIAMALI 21 wamejitokeza kushiriki kwenye gulio la mauzo la bidhaa mbalimbali la siku mbili lililofanyika katika fukwe ya Coco kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo. Gulio hilo la siku mbili lilianza juzi na kumalizika jana ambapo lilishirikisha wajasiliamali mbalimbali wenye maduka Kariakoo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Srq2Q33qKIo/U6ftDaAj5xI/AAAAAAAFsZo/c3tk3kzg9FA/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Vodacom yaleta gulio jingine la mauzo ya bidhaa za Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-Srq2Q33qKIo/U6ftDaAj5xI/AAAAAAAFsZo/c3tk3kzg9FA/s1600/unnamed+(10).jpg)
Kampuni ya Mawasiliano ya...
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...
10 years ago
VijimamboPSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tDzczHZP2nM/VbztgmbEeAI/AAAAAAAHtGI/LLTppXsMx7o/s72-c/001.GULIO.jpg)
GULIO LA VODACOM KUFIKIA TAMATI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tDzczHZP2nM/VbztgmbEeAI/AAAAAAAHtGI/LLTppXsMx7o/s640/001.GULIO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8-Rh7WeQXk/VbztghhL8iI/AAAAAAAHtGQ/JnIEgz0ueSE/s640/002.GULIO.jpg)
10 years ago
MichuziWakazi wakaskazini wanufaika na Gulio la Vodacom Tanzania
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Tigo yadhamini gulio la Annual Charity Baazar
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari wakati wa gulio lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania lenye lengo kusaidia jamii, Tigo ni wadhamini wa gulio hilo.
10 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO
Amri Abeid jijini Arusha.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
GPLWAKAZI WA KASKAZINI WANUFAIKA NA GULIO LA VODACOM TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza
Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.
Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry, akizungumza na waandishi wa habari...