Benki ya BOA kuwawezesha wasambazaji wa bidhaa za Vodacom
Benki ya Africa (BOA)-Tanzania imeingia ubia na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, ambao utawawezesha mawakala wa kuuza na kusambaza bidhaa za Vodacom kupata mikopo ya masharti nafuu na bila amana ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja wao. Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Wasambazaji bidhaa za TBL wanavyoneemeka
BIASHARA ya usambazaji wa vileo nchini kupitia kampuni ya Bima Tanzania (TBL), imeendelea kuwainua kiuchumi wasambazaji maeneo mbalimbali nchini. Mojawapo ya faida ambayo mawakala wanapata kupitia biashara hiyo ni uwezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--yn4Bd1mUAw/XmasGwrhpGI/AAAAAAALiVs/WvVZFEOg_SQSG9mjC42X0Vjl7_e16LFXwCLcBGAsYHQ/s72-c/2689c348-c506-41a5-88c3-3f65fa25a26d.jpg)
Wasambazaji bora wa bidhaa za TBL wazawadiwa magari na tuzo
Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) chini ya Kampuni ya kimataifa ya ABInBEV, imekutana jijini Dar es Salaam na wasambazaji wa bidhaa zake kutoka nchini pote kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuboresha zaidi usambazaji sambamba na kuwashukuru ambapo wasambazaji bora 2 wamejipatia zawadi ya magari ya kubeba mizigo kwa ajili ya kurahisisha usambazaji wa bidhaa kwa wateja na wasambazaji wengi wamejipatia vyeti na vikombe vya kutokana na...
10 years ago
TheCitizen04 Sep
Vodacom and BOA enter into financing deal
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Benki ya BOA kunufaisha watanzania
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s72-c/01.jpg)
Benki ya NBC yazidi kuwawezesha vijana kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s640/01.jpg)
9 years ago
Michuzi27 Sep
Benki ya Afrika(BOA Bank) yapigia chapuo matumizi bora ya mikopo
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Afrika, Bw. Mussa Mwachaga amesema mwishoni mwa juma wakati akikabidhi msaada wa Tsh. milioni 10 kwa shule ya Sekondari ya Baobab kuwa uaminifu katika kurejesha mikopo huleta maendeleo ya haraka kwa watu binafsi na taasisi mbalimbali.
“Hili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
MTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qoBytkvHX7c/XrP591TREOI/AAAAAAALpZQ/catm5v4ZwykIX_SiMoj5Sa3sqGUU9NvwACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.08.48%2BPM.jpeg)
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nx_fPhku9fQ/VhfKeqXnjHI/AAAAAAAH-Mg/V5SPBKfUHRI/s72-c/IMG_1959.jpg)
WAFANYAKAZI BOA BENKI KUPEPERUSHA BENDERA YAO NA CCBRT MLIMA KILIMANJARO KUANZIA JUMAPILI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-nx_fPhku9fQ/VhfKeqXnjHI/AAAAAAAH-Mg/V5SPBKfUHRI/s640/IMG_1959.jpg)