Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYAKAZI BOA BENKI KUPEPERUSHA BENDERA YAO NA CCBRT MLIMA KILIMANJARO KUANZIA JUMAPILI HII

Naibu Mkuruenzi wa BOA benki, Wasia Mushi akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na wanao kwenda kupeperusha bendera ya benki hiyo pamoja na bendera ya CCBRT katika kilele cha mlima wa Kilimanjaro ikiwa ni kukamilisha mchango wao kama benki kwaajili ya watoto waliozaliwa ikiwa miguu yao imepoza ili wapatiwe matibabu katika Hospitali ya CCBRT, ikiwa ni mchango wao kama benki kusaidia jamii inayosumbuliwa na ugonjwa wa kupinda miguu unaojulikana kwa jina la (KIBWIKO) benki ya BOA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHEF ISSA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA JIJINI LUXEMBOURG KWENYE Villeroy & Boch Culinary World Cup 2014 kuanzia leo 24 mpaka 28 november 2014

"NAMSHUKURU MUNGU KWA KUCHAGULIWA KUSHIRIKI KAMA MSIMAMIZI KWENYE WORLD CUP YA WAPISHI INAYOFANYIKA KILA BAADA YA MIAKA 4 NITAPEPERUSHA BENDERA YA NCHI YANGU TANZANIA NI JAMBO LA KUJIVUNIA SANA".
Mpaka sasa Chef Issa Kapande mbali ya kushinda tuzo nyingi tofauti ndani na nje ya nchi katika fani yake ya upishi pia anashikilia rekodi ya kua Chef Mtanzania Msomi na mdogo kuliko wote aliewahi kufungua na kuongoza hotel ya nyota tano ( Certified Executive Chef) akiwa na umri wa miaka 25 tu. Hili...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi 21 wa kampuni ya ACACIA wapanda Mlima Kilimanjaro kuchangisha fedha za kusaidia sekta ya elimu

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,wanafamilia pamoja na marafiki wa kampuni hiyo wakishuka kutoka katika gari tayari kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro. Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya Acacia, Brad Gordon akitelemka kuanza changamoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kama njia ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia sekta ya elimu nchini. Meneja wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Kampuni ya Acacia, Necta .P.Foya akifunga vizuri mizigo...

 

10 years ago

Dewji Blog

BOA yasheherekea Pasaka na watoto waliolazwa Hospitali ya CCBRT

Boda 2

Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi vifaa vya masomo kwa watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.

Boda 3

Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akiwahudumia chakula watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.

Boda 5

Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili Jumapili hii Aprili 19, 2015 Kuanzia saa kumi kamili

*** Ibada ya pili ya Mwezi - Kusifu na Kuabudu*** ***Mchungaji Kiongozi Ipyana Mwakabonga******www.iykcolumbus.org***

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili — Kusifu na Kuabudu Jumapili hii Machi 15 Kuanzia Saa Kumi kamili

Ibada ya Kiswahili - Columbus OhioMch. Ipyana Mwakabonga  Tovuti: www.iykcolumbus.org

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili - Jumapili hii ya Machi 01, 2015 Kuanzia saa Kumi kamili alasiri

 Karibu tovuti ya Ibada ya Kiswahili - www.iykcolumbus.orgNeno la Siku - Ukurasa wa Facebook: Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio

 

10 years ago

Vijimambo

Karibu Ibada ya Kiswahili Jumapili hii Aprili 05, 2015 Kuanzia saa kumi kamili jioni

***   ***   *** ***   ***   *** Tembelea tovuti yetu www.iykcolumbus.orgKaribu Ubarikiwe na NENO la Siku kwenye ukurasa wetu wa Facebook (FB) Ibada ya Kiswahili-Columbus, Ohio

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili - PASAKA Jumapili hii Aprili 05, 2015 Kuanzia saa kumi kamili

***   ***   *** ***   ***   *** Tembelea tovuti yetu www.iykcolumbus.orgKaribu Ubarikiwe na NENO la Siku kwenye ukurasa wetu wa Facebook (FB) Ibada ya Kiswahili-Columbus, Ohio
Mch. Ipyana Mwakabonga

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,wanafamilia pamoja na marafiki wa kampuni hiyo wakishuka kutoka katika gari tayari kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro .Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya Acacia,Brad Gordon akitelemka kuanza changamoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kama njia ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia sekta ya elimu nchini.
Meneja wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Kampuni ya Acacia,Necta .P.Foya akifunga vizuri mizigo yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani