Benki ya BOA kunufaisha watanzania
Watanzania wataanza kunufaika na huduma ya kutuma fedha kimataifa, baada ya Benki ya Afrika (BOA), kufungua huduma mpya iitwayo Wari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Sep
Benki ya BOA kuwawezesha wasambazaji wa bidhaa za Vodacom
9 years ago
Michuzi27 Sep
Benki ya Afrika(BOA Bank) yapigia chapuo matumizi bora ya mikopo
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Afrika, Bw. Mussa Mwachaga amesema mwishoni mwa juma wakati akikabidhi msaada wa Tsh. milioni 10 kwa shule ya Sekondari ya Baobab kuwa uaminifu katika kurejesha mikopo huleta maendeleo ya haraka kwa watu binafsi na taasisi mbalimbali.
“Hili...
5 years ago
MichuziMTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
Na Karama Kenyunko Michuzi TV MTUMISHI benki ya Boa, Nahami Mwaipyana, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka saba ya wizi akiwa Mtumishi na shtaka moja la utakatishaji wa fedha wa zaidi ya USD 35 elfu na Tsh. Milioni mbili.
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI BOA BENKI KUPEPERUSHA BENDERA YAO NA CCBRT MLIMA KILIMANJARO KUANZIA JUMAPILI HII
11 years ago
MichuziBenki ya Wanawake kuwahudumia watanzania wa Disapora
5 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziBenki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
9 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka