Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya Wanawake kuwahudumia watanzania wa Disapora

BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) imeanziasha utaratibu au hudama wa kibenki ambayo itawawezesha wanawake wa Kitanzania wa Diaspora (wanaoishi ughaibuni)  kuchangia katika shughuli mbalimbali za kijamii na uchumi hapa nchini.  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Bi. Margareth Chacha,aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuwa hivi karibuni wanawake waishio Washington, Virginia and Maryland (DMV) walituma mwaliko kwa benki yake kwenda kuwaelezea ninamna gani watanufaika endapo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Serikali itaendelea kusimamia miradi ya kimakatakati ili kuwahudumia Watanzania


Na Eleuteri Mangi, WHUSM-Dodoma
Serikali itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kusimamia miradi mikubwa ya kitaifa ya kimkakati ili taifa liendelee kusonga mbele katika sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. 
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo lililofanyika leo jijini Dodoma.
Miradi ambayo wizara itaendelea kuisimamia ni pamoja na kuendeleza na kutekeleza shughuli za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake, wanaume wanufaika mikopo ya Benki ya Wanawake

WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, imesema hadi sasa Benki ya Wanawake Tanzania imewezesha kutoa mikopo kwa asilimia 77 ya wanawake nchini huku wanaume walionufaika na mikopo hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Benki ya Wanawake yazidi kujitanua

BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB), imeendelea kufungua matawi ya benki yake mikoani, ili  kuhakikisha huduma bora za fedha wananchi wengi. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa tawi jipya Makambako, Mkoa wa Njombe...

 

11 years ago

Mwananchi

Benki kuwakomboa wanawake nchini

>Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) imeweka mpango wa kuwanufaisha wajasiriamali kwa kuwapatia viwanja vilivyopimwa kisheria ili kuwawezesha kukopesheka kirahisi.

 

9 years ago

Mwananchi

Benki ya BOA kunufaisha watanzania

Watanzania wataanza kunufaika na huduma ya kutuma fedha kimataifa, baada ya Benki ya Afrika (BOA), kufungua huduma mpya iitwayo Wari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba

MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabanwa ukaguzi Benki ya Wanawake

WABUNGE jana waliibana Serikali wakidai kuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), fedha zake hazijakaguliwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), tangu kuanzishwa kwake.

 

11 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA NBC BENKI AWAPIGA MSASA WAFANYAKAZI WANAWAKE WA VODACOM

Ofisa Mkuu wa Idara ya Sheria na Udhibiti, wa Vodacom Tanzania, Akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Mawasiliano wa Vodacom wakati walipofanya kongamano na Mkurugenzi wa Benki ya NBC Mizinga Melu, ikiwa ni sehemu ya kubadilisha uzoefu na kujengeana uwezo. Kongamano hilo lilifanyika katika makao makuu ya kampuni Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu, akisikiliza swali kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Mawasiliano ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani