Serikali itaendelea kusimamia miradi ya kimakatakati ili kuwahudumia Watanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-cARgfkA64bY/Xm-PhqHteCI/AAAAAAAC8og/9W8NT55xvNUQV9CLoZI1Rs5uQGe8Ddo9ACLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Na Eleuteri Mangi, WHUSM-Dodoma
Serikali itaendelea kutekeleza majukumu yake ya kusimamia miradi mikubwa ya kitaifa ya kimkakati ili taifa liendelee kusonga mbele katika sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo lililofanyika leo jijini Dodoma.
Miradi ambayo wizara itaendelea kuisimamia ni pamoja na kuendeleza na kutekeleza shughuli za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s72-c/unnamed.jpg)
UNDP “yaipiga jeki” Serikali namna ya kuandaa, kujadili na kusimamia miradi mikubwa na mikataba ya gesi asilia Nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uf_FNEsT7Ac/U3hpNt_eq-I/AAAAAAAFjaM/S69zkimJzmc/s72-c/Kk7Rs4DHaEXKOr1iZbsLZ4mNHLeN_sx-5fCVhhiOjp0.jpg)
Benki ya Wanawake kuwahudumia watanzania wa Disapora
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/3oqxHOLqISY/default.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI IKO IMARA KUWAHUDUMIA WANANCHI-MAJALIWA
Ili kutimiza adhima hiyo, Waziri Mkuu amepiga marufuku kitendo cha watumishi wa umma kumaliza wiki wakiwa maofisini na badala yake amewataka watumie siku nne kwenda kwa wananchi katika maeneo yao.
Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika...
11 years ago
Dewji Blog26 Jun
Wizara ya Fedha yafanikiwa kusimamia miradi ya maendeleo nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Na Mwandishi wetu – Hazina
Dhana ya kukua katika maisha ya jamii inahusisha mtu, Wizara, Idara naTaasisi mbalimbali zinazounda jumuiya ya watu au taifa fulani.
Ni ukweli usiopingika kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekua na kufikisha umri wa nusu karne ambapo Aprili 26 mwaka huu wa 2014 inajivunia kufikisha miaka 50 tangu kuasisiwa kwake (1964- 2014).
Sherehe za Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Chenge: Serikali itaendelea kukopa
10 years ago
Habarileo11 Feb
JK: Serikali itaendelea kuboresha hospitali
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha sekta ya afya nchini kwa kuboresha zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, rufaa na vyuo vinavyotoa taaluma ya uuguzi na udaktari.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Mkuya: Serikali itaendelea kukopa
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya Salum, amesema serikali itaendelea kukopa licha ya deni la taifa kuongezeka, lengo lilikwa ni kufungua fursa za kiuchumi zaidi. Pia ameelezea sababu za...